asalale ahhaa no no

mluga

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
676
215
Mapiga picha huu si ustaarabu, mnasemaje waungwana?
 

Attachments

  • mambo hayo.jpg
    mambo hayo.jpg
    68 KB · Views: 909
mmmhh.... si tabia nzuri wallah... huyo aliepiga hii picha atakua anakasoro ya akili kidogo.....kuna kinachomchanganya kichwani mwake...
 
heheheheheheheeheheheh Najua wadada wataitazama hii picha upande wa udhalilishaji coz mhusika ni mdada, sijui angekuwa mkaka ingekuwaje!?? Najua kuna wengine wange-pretend kudai bado wangesema ni udhalilishaji.
Mi sioni tatizo, maadamu sura ya mhusika haionekani
 
duh kweli ulikuwa muwasho wa kuhaibisha? dada wa watu hata habari hana kwa raha zake
 
Hehehehehehehe,,,
hivi utajikunaje kunako bila kuangalia kwanza mazingira kama yanaruhusu?
 
G String!!! Duh ! kikamba kimezama anakitoa? Lakini hicho kikamba huwa nakionea wivu...kinafaidi sana!
 
Jamani kwani kutoa kipwinto imekuwa ajabu kiasi hiki mpaka tupigane picha lo!
 
Back
Top Bottom