TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
mkuu tangu nizaliwe sijawahi kusikia fangasi yabisi... nini maana yake? solid fungus or?huyu atakuwa na minyoo dume au fangus yabisi
mkuu tangu nizaliwe sijawahi kusikia fangasi yabisi... nini maana yake? solid fungus or?huyu atakuwa na minyoo dume au fangus yabisi
A hahahahaaaaah!!Ya ndani iliingia mtaroni
Teh teh teh! Mnaukumbuka ule muwasho wa Klorokwini?Kuna muwasho mwingine hautoi nafasi ya kuangalia mazingira kama yanaruhusu!