Arusha yazizima baada ya Mbowe kuhutubia

mi ningekuwa mgombea wa ccm ningejitoa, manke hapa ndo kuja kuaibika,

Si ajabu hapa hata mkeo/mmeo asikupigie kura yakakukuta yale ya J.cheyo 1995, alipopata kura 1 kwenye kituo alichoenda kupiga kura na mkewe.
 
How do you get you're daily bread because it seems like a personal who never go offline. What a you doing for living exactly?

He/she has been employed by Nape. Has never been off duty since then. Working 24/7
 
... Hebu tujuze Mbowe kazungumza nini juu ya uchumi wa nchi yetu,mikakati ya kujikwamua kiuchumi,..na sera nyingine kama kilimo,elimu,ajira na kadhalika. Haya ndio mambo muhimu tunayohitaji kupima uzito wa hotuba za hawa viongozi na sera za vyama siasa. ....

...Mbowe kwa nafasi yake amesema nini juu ya hayo?
Hakuna kitu kama hicho hapa Tanzania, huwezi kupata majibu hayo. Wenzetu wanaongelea debt crises za nchi zao na dunia, healthcare woes, price of crude oil, rising unemployment numbers, shrinking food supplies... etc etc... sisi national issues zetu ni watoto wa Wassira wahama chama, uwanja wa NMC Arusha umejaa watu, Mwigulu Nchemba anajicheba na wake za watu... ndio national agenda .

Huwezi kuambiwa hapa Mbowe amesema nini Arusha.
 
:embarassed2: MBOWE HATA AKIJAMBA WEWE UTASIFIA TU, HONGERA SANA KWA KUMPENDA MBOWE KUZIDI BABA YAKO :embarassed2:
 
Najua huajanywa chai hadi saizi ndo maana hujaelewa vizuri kiswahili...

Ni hivi, hilo FUSO unalosema liko nje ya ofisi ya kata so hakuna uongo hapo. Kama umeenda shule kidogo jikumbushe zile hesabu za set na subset na union of the set kisha chora venn diagram uone kama fuso halijapaki kwenye ofisi ya kata

kaka siyo matatizo yake ila ni matatizo wa watawala wake
 
He/she has been employed by Nape. Has never been off duty since then. Working 24/7

Wewe umetumwa na Dr Slaa na Mbowe, unakesha JF kuitetea Chadema, haya nenda Kinondoni mtaa wa ufipa kachukuwe posho yako na viroba.
 
Ndugu,

..... hadhara wa kampeni katika kata ya Daraja Mbili Arusha...uliofanyika mbele ya ofisi za Kata za Chadema .....

Mkutano ulifanyika mble ya ofisi NA sio ndani ya ofisi!
 
Cdm waokoeni wa tanzania nilikuwa cwaelewi ila da nimetokea kuwapenda ghafla sana,Nina swali moja janani naombe mnisaidie hivi kwa mfano cdm ikachukua nchi ikaleta mambo ya maendeleo ya kasi kulingana na rasilimali zilizopo hawa watu wanaoibeza cdm itakuwa je wataweka wapi sura zao au watahama nchi hii,
 
wewe umetumwa na dr slaa na mbowe, unakesha jf kuitetea chadama, haya nenda kidondoni mtaa wa ufipa kachukuwe posho yako na viroba.
sio chadama punguza hasira kaka ni chadema au cdm au dawa ya kuvuruga usingizi wa ccmagamba.
 
Furaha ya Ritz ni kuona mnajibu pumba zake, anapenda sana mnapotoka kwenye hoja ya msingi

kama ni jitihada za kutupotezea malengo amefeli.....kwa D2 uchaguzi ni kama umekwisha.....kila mtu anajua anampigia Msofe....huyo wa CCM hata jina watu hawajui anaitwa nani......
 
Last edited by a moderator:
Najua huajanywa chai hadi saizi ndo maana hujaelewa vizuri kiswahili...

Ni hivi, hilo FUSO unalosema liko nje ya ofisi ya kata so hakuna uongo hapo. Kama umeenda shule kidogo jikumbushe zile hesabu za set na subset na union of the set kisha chora venn diagram uone kama fuso halijapaki kwenye ofisi ya kata

mkuu, huyu hesabu yenyewe aliikimbia, unavyomwambia hivyo ni kama unamtusi tu
 
kama ni jitihada za kutupotezea malengo amefeli.....kwa D2 uchaguzi ni kama umekwisha.....kila mtu anajua anampigia Msofe....huyo wa CCM hata jina watu hawajui anaitwa nani......

Preta,
Udiwani sio issue kuna nafasi muhimu kushinda haiwezekani udiwani, ubunge mtapata.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom