- Thread starter
- #101
Who is mbowe..........tanzania tunabumbuzana kwa mambo ya kijinga kabisa you can imaging mbowe rais lema waziri mkuu nchi itauzwa kweupe.........na makao makuu ya nchi yatahamia kilimanjaro........big problem nadha uelewa wa watanzania umeshuka kwa kiasi kikubwa kweli....tusingejadili upuuzi huu kwenye blog kama hizi..................
Kuonyesha ujinga wako na wewe umejadili.