Hakuna kitu kama hicho hapa Tanzania, huwezi kupata majibu hayo. Wenzetu wanaongelea debt crises za nchi zao na dunia, healthcare woes, price of crude oil, rising unemployment numbers, shrinking food supplies... etc etc... sisi national issues zetu ni watoto wa Wassira wahama chama, uwanja wa NMC Arusha umejaa watu, Mwigulu Nchemba anajicheba na wake za watu... ndio national agenda .
Huwezi kuambiwa hapa Mbowe amesema nini Arusha.
In order to hide his buccal cirrisihajawahi kuona mtu anaandika ujinga kama huu ... kwani hiyo fuso ambayo Mh. Mbowe yupo juu yake ipo sehemu gani? ..... Lumumba au nje ya ofisi ya kata ya CDM
sometimes it is better to shut your buccal cavity
Wewe umetumwa na Dr Slaa na Mbowe, unakesha JF kuitetea Chadema, haya nenda Kinondoni mtaa wa ufipa kachukuwe posho yako na viroba.
ndg vp mbona unakuwa mkali?Please keep quiet and its none of your business
Uongo mwingine ni wa kitoto sana, mtu yupo juu ya Fuso la Chadema, wewe unasema eti nje ya ofisi ya Kata, unataka kuniambia hiyo ofisi ya kata ni kubwa kuzidi makao makuu ya Chadema taifa.
kudadadeki naimiss Arusha yangu..
Hili neno Genius limepatiwa tafsiri mpya au bado ni ile ile?Mkuu wewe genius sikungamua usanii wa mleta mada.
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe jana alihutubia mkutano mkubwa wa hadhara wa kampeni katika kata ya Daraja Mbili Arusha...uliofanyika mbele ya ofisi za Kata za Chadema baada ya kukosa eneo la kufanyia mkutano!!
Kamanda Mbowe aliwataka watu wa Kata hiyo kutokufanya makosa na waipatie CDM ushindi mkubwa wa zaidi ya asilimia 80%
Baada ya mkutano huo jiji la Arusha lilizizima kwa muda kutokana na hamasa ya Mbowe na umati uliohudhuria mkutano huo.
Hapa ni nje ya Ofisi ya CHADEMA Kata.
Ndo nimerudi online bado nimekukuta uko online..................................... huoni tofauti ya wewe kibarua wa nape kwenye Jf, na mimi ninayemtumikia kaisari
Unajuwa maana ya kuzizima au unajiandikia tu?
Ingekuwa vizuri hawa viongozi wakuu wa taifa Kichama wanapoongea tusiishie tu kusifia umati wa watu waliojitokeza. Hebu tujuze Mbowe kazungumza nini juu ya uchumi wa nchi yetu,mikakati ya kujikwamua kiuchumi,..na sera nyingine kama kilimo,elimu,ajira na kadhalika. Haya ndio mambo muhimu tunayohitaji kupima uzito wa hotuba za hawa viongozi na sera za vyama siasa. Ni kwa njia hii ndio tutaweza kupima kati ya viongozi shupavu,wenye mipango,wenye sera makini,wakweli..vinginevyo tutaingiza madarakani vilaza,waongo,walafi,wapenda sifa na wabinafsi.
Mleta uzi,Mbowe kwa nafasi yake amesema nini juu ya hayo?
Uongo mwingine ni wa kitoto sana, mtu yupo juu ya Fuso la Chadema, wewe unasema eti nje ya ofisi ya Kata, unataka kuniambia hiyo ofisi ya kata ni kubwa kuzidi makao makuu ya Chadema taifa.
Wewe kibarua wa Dr Slaa? Umerudi kutoka wapi kuchukuwa viroba.
Ukiwaogopa kwa hilo hapa utaishi kinyonge sana, maana wao Mods wanajifanya hawawaoni, mimi kwangu ni Fire to fire na Ban kwangu ni healthier.......Mmezoea kushawishi ban................................hapa umechemka