Chini ya Rais Samia Upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi Mkoani Arusha wafikia asilimia 93.
Rekodi za Kitaifa zinaonesha kuwa Tanzania imeongeza MRI kutoka 7 hadi 13, CT scan kutoka 13 hadi 45, Digital X-Ray kutoka 147 hadi 491 na Ultrasound kutoka 476 hadi 970. Hata hivyo Mkoa wa Arusha umeongeza upatikanaji wa dawa na vifaa tiba mbalimbali kutoka asilimia 65 mwaka 2021 mpaka asilimia 93 mwaka 2025 ikiwemo Digital X-ray kutoka 5 mwaka 2020 mpaka 11 mwaka 2025, CT scan kutoka 0 mpaka 1 mwaka 2025, ultra sound kutoka 7 mwaka 2020 mpaka 24 mwaka 2025. Pia ameongeza hii imepelekea wagonjwa 152,332 waliotakiwa kwenda kutibiwa nje ya Mkoa kutibiwa katika Hospitali yetu ya Mount Meru.
Rekodi za Kitaifa zinaonesha kuwa Tanzania imeongeza MRI kutoka 7 hadi 13, CT scan kutoka 13 hadi 45, Digital X-Ray kutoka 147 hadi 491 na Ultrasound kutoka 476 hadi 970. Hata hivyo Mkoa wa Arusha umeongeza upatikanaji wa dawa na vifaa tiba mbalimbali kutoka asilimia 65 mwaka 2021 mpaka asilimia 93 mwaka 2025 ikiwemo Digital X-ray kutoka 5 mwaka 2020 mpaka 11 mwaka 2025, CT scan kutoka 0 mpaka 1 mwaka 2025, ultra sound kutoka 7 mwaka 2020 mpaka 24 mwaka 2025. Pia ameongeza hii imepelekea wagonjwa 152,332 waliotakiwa kwenda kutibiwa nje ya Mkoa kutibiwa katika Hospitali yetu ya Mount Meru.