Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,760
- 19,997
Utakuwa sshogga wa Dar umekuja kwenye promotion...Nipo Arusha yapata week ya pili kwa kazi zangu hizi za kuuza Unga wa lishe, nafaka na biashara ya kuleta Vitu huku
Namkuta mtoto wa binamu yangu wa kiume kamaliza chuo kwa ngazi ya cheti simuelewi elewi ndo naambiwa ni shoga na ana mashoga wenzake
Jioni moja kaja na marafiki zake wa kiume kama watano na wote ni mashoga hapo nyumbani wapo wanacheka cheka kama wanawake
Hali ya Arusha ni mbaya sana niliuliza wamama wenyeji baada ya kuona hayo waliyoniambia nimebaki mdomo wazi Arusha inatisha kwa ushoga bora hata Dar
Huko mitaani hali ndo mbaya na mashoga wengi wapo Arusha siku hizi huko sakina na mianzini kuna hadi bar za kuuza mashoga
Vijana wanajiingiza kwenye ushoga wakiwa wadogo sana na wasagaji ndo usiseme arusha matom boy ni wengi na kuna mama ananiambia ashatokewa na kutongozwa na wanawake wasagaji sio chini ya 15
Arusha nimenyoosha mkono juu dar pana nafuu