Arusha: Polisi auawa kwa panga akijaribu kumkamata mwizi usiku nyumbani kwake

Inaonekana polisi wako wachache sana kwenye nchi hii yenye raia zaidi ya milioni 60
Wengi ni trafic wa barabarani. Kitu ambacho kwenye nchi yenye mipango bora, kililtkiwa kifanywe kwa kiasi kikubwa na mfumo wa Camera na stragegic cordination ya security network katika kuwatia mbaroni waharibifu mabarabarani mara zingine hata wal bila kujua. Hawa wengine wafanye ulinzi halali.
 
Hii haiko sawa kabisa.nadhani ukweli utajulikana.yaani askari polisi alikwenda kumkamata mtuhumiwa usiku akiwa peke yake? Halafu aliyemuua police ni jirani ambaye naye ni jambazi.So huo mtaa ni wa waharifu.Tuelezane ukweli tuu,Hesabu zote zinanigomea hapa
 
Hii haiko sawa kabisa.nadhani ukweli utajulikana.yaani askari polisi alikwenda kumkamata mtuhumiwa usiku akiwa peke yake? Halafu aliyemuua police ni jirani ambaye naye ni jambazi.So huo mtaa ni wa waharifu.Tuelezane ukweli tuu,Hesabu zote zinanigomea hapa
Wewe si Mungu?
 
atadakwa tu siku atakayogusa simu tu wanaye ila polisi wana mbinu aisee nimewavulia kofia
polisi wenye mbinu hawa polisiccm, walioweka taaluma mifukoni na kuamua kufanya kazi za siasa.
Ukitaka upate unafuu kutoka polisi uwe na pesa mfukoni
 
Hii haiko sawa kabisa.nadhani ukweli utajulikana.yaani askari polisi alikwenda kumkamata mtuhumiwa usiku akiwa peke yake? Halafu aliyemuua police ni jirani ambaye naye ni jambazi.So huo mtaa ni wa waharifu.Tuelezane ukweli tuu,Hesabu zote zinanigomea hapa
Kuna kitu kinafichwa
 
Askari polisi katika kituo kidogo Cha polisi Mbughuni wilayani Arumeru,Mkoani hapa,ameuawa kwa kukatwa na panga kichwani wakati akijaribu kumkamata mtuhumiwa.wa wizi.

Tukio hilo limetokea Jana majira ya saa tano usiku katika Kijiji Cha Makiba wakati Askari huyo( jina linahifadhiwa) alipoenda nyumbani kwa mhalifu kwa lengo la kumkamata .

Kwa mujibu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha kamishina msaidizi wa Polisi ACP-Justine Masejo askari huyo alifariki dunia muda mfupi baada ya kuvunja damu nyingi.

"Askari wetu katika kituo kidogo Cha polisi Mbughuni alikatwa panga kichwani na kufariki dunia baada ya kwenda nyumbani kwa mhalifu majira ya saa tano usiku lengo la kumkamata ,hivi Sasa polisi wanaoendesha operesheni ya kumsaka ili afikishwe kwenye vyombo vya dola"alisema Masejo

Kamanda alifafanua kwamba askari huyo alienda Nyumbani kwa mtuhumiwa kwa nia ya kumkamata kuhusiana na matukio ya wizi wa mazao na kwamba wakati akijaribu kumkamata ndipo alipotokea mhalifu mwingine Nyumba ya jirani ambaye alimkata panga moja kichwani askari huyo nakupoteza Maisha.

Aidha Masejo aliongeza kuwa kabla ya tukio hilo mwananchi mmoja alifika katika kituo cha polisi Mbughuni kulalamika.juu ya mtuhumiwa wa wizi wa mazao yake ambapo polisi walianza msako wa kumvizia mtuhumiwa huyo.

Alisema kuwa mtuhumiwa huyo ambaye jina lake limehifadhiwa kwa uchunguzi,aliweza kufanikiwa kutoroka baada ya tukio hilo na polisi wameanzisha msako Mkali dhidi ya Watuhumiwa hao .

Ends
Ugoni huo aisee
 
Safi sana,tukio kama hilo linapotokea kwa hawa askari wa Tanzania ambao wanabambikia watu kesi na kuzuia watu kuexercise haki zao za kikatiba kama vile haki ya kujieleza ni jambo la kheri sana.Nimefurahi sana.
 
Kwanza, pole kwa huyo askari na ndugu zake. Apumzike kwa amani.

Pili, ni kosa kubwa mwa askari kwenda kumkamata mtu ama mhalifu akiwa peke yake na mbaya zaidi usiku. Hii ni hatari sana.

Huu ni uzembe kwa jeshi la polisi. Wahusika wachukuliwe hatua.
 
Tumefika huku kwa uwendawazimu wa sirikali
Ule muda wa kugawana majengo umewadia
sisiem mtavuna mlichopanda
 
Back
Top Bottom