Japo na kujitapa sana hii mikoa watu wanahela ila matajiri hamna
Uhakika ukisema orodha ya matajiri kuanzia namba 1 mpaka 50 wote watatoka DSM
Mkuu sio ulimbukeni huo, NI UPUMBAVU KABISA.Kujadili maisha ya mtu wakati Shanghai wala kukusaidia moja kwa moja naona ni ulimbukeni