Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Wewe endlea na itikadi zako zaki zee tuone kama watu na vijana wa taifa hili bado wamelala, walikuwa wameganda kimawazo kama wewe ila hivi sasa wame yeyuka. Sasa hivi tupo karne nyingne
Mkuu maccm hayataki kuukubali ukweli kwani ni mchungu,ila itabidi wakubali tu haina jinsi,na siyo arusha na Kilimanjaro tu,pia songea,mbeya,pia na mikoa mingine kibao