Arusha na CCM

Arusha na CCM

Hivi mkoa mzima wa Kilimanjaro, mgawanyo wa ubunge ukoje?
 
Naomba kudeclare interest. Mimi siamini kuwa tutapata rais bora toka CCM hata wakimteua nani. Ila naona kitendo cha kumtema Lowassa na wakifanikiwa kumtema Membe, wapinzani tutakuwa na kazi kweli kweli. Watakaobaki wachache ndani ya CCM watakuwa wamoja na wakichanganya na nguvu ya dola na watendaji wakuu wa ngazi zote serikalini CCM watapata ushindi mkubwa kwa kutumia kura na bao la mkono.

Lowasa hatathubutu kuhama chama maana atapelekewa bill ya kodi ya michango yoote aliyopokea kutoka kwa marafiki zake (Kumbuka waliopata hela ya escrow walidaiwa kodi). Pili, Mawaziri wakuu wanaotakiwa kupata marupurupu ya kustaafu ni wale waliostaafu na sii waliojiuzulu. Lowasa alijiuzulu na si alistaafu. Kama atathubutu kuingia chama kingine haya marupurupu yatakatwa.

Sababu nyingine ni kuwa Watanzania ni wepesi kusahau. Baada ya wiki moja utasikia wale wale waliokuwa kindaki ndaki team lowasa watakuwa kindaki ndaki wa mgombea atakayeteuliwa na jina Lowasa litakuwa limefutika midomoni mwao.

Kwa maamuzi haya ya CCM utashangaa upinzani tusipokuwa makini tutapoteza hata baadhi ya majimbo tulonayo.

Kukata marupurupu hawawezi hata angefanyakazi kwa siku moja kama waziri mkuu. Haijalishi amejiuzulu au kastaafu malipo yanalipwa tu. Muuze Seif wa CUF kama hailipwi
 
Mkuu tangia enzi na enzi watu wa kaskazini wamekuwa wanabaguliwa wazi wazi kabisa na ccm...na mwaka huu ndo muda wa kuwaonyesha kuwa watu aa kaskazini wana msimamo....na msimamo wauonyeshe kwenye sanduku la kura...ccm wasipate kitu kuanzia udiwani..ubunge..mpaka uraisi...

Wakati watu wanaongelea Rais wa Tanzania, rais msafi mwenye uwezo wa kukemea rushwa wao wanaongea rais wa kaskazini bila kujali hata kama ni mla rushwa, this is too low!
 
wanataka ccm yao ibaki vilevile na watuwao wanao wataka ilitu waendeleze yalemambo yao
 
naomba kudeclare interest. Mimi siamini kuwa tutapata rais bora toka ccm hata wakimteua nani. Ila naona kitendo cha kumtema lowassa na wakifanikiwa kumtema membe, wapinzani tutakuwa na kazi kweli kweli. Watakaobaki wachache ndani ya ccm watakuwa wamoja na wakichanganya na nguvu ya dola na watendaji wakuu wa ngazi zote serikalini ccm watapata ushindi mkubwa kwa kutumia kura na bao la mkono.

Lowasa hatathubutu kuhama chama maana atapelekewa bill ya kodi ya michango yoote aliyopokea kutoka kwa marafiki zake (kumbuka waliopata hela ya escrow walidaiwa kodi). Pili, mawaziri wakuu wanaotakiwa kupata marupurupu ya kustaafu ni wale waliostaafu na sii waliojiuzulu. Lowasa alijiuzulu na si alistaafu. Kama atathubutu kuingia chama kingine haya marupurupu yatakatwa.

Sababu nyingine ni kuwa watanzania ni wepesi kusahau. Baada ya wiki moja utasikia wale wale waliokuwa kindaki ndaki team lowasa watakuwa kindaki ndaki wa mgombea atakayeteuliwa na jina lowasa litakuwa limefutika midomoni mwao.

Kwa maamuzi haya ya ccm utashangaa upinzani tusipokuwa makini tutapoteza hata baadhi ya majimbo tulonayo.

nakubaliana na wewe kwa kumkumbuka marehemu kenyata alimwambia nyerere :" mimi natawala wagonjwa kuna siku watapowa wataleta shida wewe unatawala vipofu hawataona maisha" imethibitika inauma lakini ndio ukweli .
 
Kwa pigo hili sidhani kama CCM ina kitu imebakiza Arusha na Kilimanjaro nadhani ndio wamejifukuza kabisa hata kile kidgo kilicho kuwa kimebaki wamepoteza, ngome imekuwa ya UKAWA moja kwa moja.
acha kuropoka ccm ndo kimeiva
 
Kwa pigo hili sidhani kama CCM ina kitu imebakiza Arusha na Kilimanjaro nadhani ndio wamejifukuza kabisa hata kile kidgo kilicho kuwa kimebaki wamepoteza, ngome imekuwa ya UKAWA moja kwa moja.
Magufuli anafaa na miongoni mwa wachapakaz ndan ya serikali wakimchukia huyo ntawaita moja kwa moja wabinafsi labda wapitishe hao wake zao! akipita magufuli mechi itakuwa tamu sana ya slaa na magufuli kwan haitotabilika
 
Hiyo ndiyo hali halisi.Na hilo lilijidhihirisha tokea jana kwenye mkutano mkuu maana wadau kutoka Arusha na Kilimanjaro waliuchuna walipoitwa na Nape.
Watusahau kabisa maana tukiendelea kuwakumbatia ni upumbavu.
 
Mkuu tangia enzi na enzi watu wa kaskazini wamekuwa wanabaguliwa wazi wazi kabisa na ccm...na mwaka huu ndo muda wa kuwaonyesha kuwa watu aa kaskazini wana msimamo....na msimamo wauonyeshe kwenye sanduku la kura...ccm wasipate kitu kuanzia udiwani..ubunge..mpaka uraisi...
na TRA yetu watuachie
 
Naomba kudeclare interest. Mimi siamini kuwa tutapata rais bora toka CCM hata wakimteua nani. Ila naona kitendo cha kumtema Lowassa na wakifanikiwa kumtema Membe, wapinzani tutakuwa na kazi kweli kweli. Watakaobaki wachache ndani ya CCM watakuwa wamoja na wakichanganya na nguvu ya dola na watendaji wakuu wa ngazi zote serikalini CCM watapata ushindi mkubwa kwa kutumia kura na bao la mkono.

Lowasa hatathubutu kuhama chama maana atapelekewa bill ya kodi ya michango yoote aliyopokea kutoka kwa marafiki zake (Kumbuka waliopata hela ya escrow walidaiwa kodi). Pili, Mawaziri wakuu wanaotakiwa kupata marupurupu ya kustaafu ni wale waliostaafu na sii waliojiuzulu. Lowasa alijiuzulu na si alistaafu. Kama atathubutu kuingia chama kingine haya marupurupu yatakatwa.

Sababu nyingine ni kuwa Watanzania ni wepesi kusahau. Baada ya wiki moja utasikia wale wale waliokuwa kindaki ndaki team lowasa watakuwa kindaki ndaki wa mgombea atakayeteuliwa na jina Lowasa litakuwa limefutika midomoni mwao.

Kwa maamuzi haya ya CCM utashangaa upinzani tusipokuwa makini tutapoteza hata baadhi ya majimbo tulonayo.

Hayo ni mawazo ya kujidanganya,ccm mmesha buuugi sana
 
Ccm washapasuka wamejikaza tu subiri watoke hapo chama kitapasuka zaidi. Unamuona Membe hapo? Unamuona Lowassa alivyokula x? Unamuona kikwete alivyomuadhibu Lowassa. Hapo wapo kimwili tu kichama hakuna.

Namuonea huruma Magufuli katupiwa zigo lililooza anakazi kubwa sana. Ukawa wanachance kubwa hii ni bahati yao.

Ccm imejiroga yenyewe
 
Aisee bado mnamatumain na UKAWA katika uraisi ? Magufur kashabadili upepo, yan hapa cha kuomba kupata wabunge wengi lakini sio uraisi
 
mtu hana sifa mnaladhimisha apite kisa wa kaskazini...!!!! chama hakiongozwi kwa hisia..mwenye sifa akiwepo ataongoza sio wahuhi wahuni tu na wezi..kama vip fanyeni uhaini mjitawale
 
Back
Top Bottom