mi ni mzaliwa na mkazi wa Kilimanjaro marangu. Unachoongea ni siasa za makabila jambo ambalo siyo zuri. Alafu siasa ni Sera siyo matusi. Waje wote wamwage Sera then wananchi waamue. Pia kama upinzani wanadhani kupita huku na huku wakisema serikali haijafanya kitu ni dili waendelee. Nimefwatilia chaguzi nyingi sana kupitia vyombo vya habari. Hakuna kitu kizuri kama Sera. Mfano Laporta vs Bartomeu pale Barcelona club kila uchao Sera zinamwagwa!!! Wananchi wamechoka na vijembe vya kutukanana na lawama. Ndio maana hata baadhi yao walimpenda Lowassa kwa kula alikuwa anawaambia atawasaidiaje japo mambo ya ufisadi yanayozungumzwa juu yake. Dr slaa mwaga Sera Dr Magufuli mwaga Sera. Zungukeni nchi mzima alafu wananchi tutawarate. Hii ndiyo siasa bora. Hawa watu wote ni makini sana na naimani Sera ndio zitawaokoa. Magufuli ni mchapakazi sana na Dr slaa pia. CCM mwacheni Magufuli msimshinikize kwa lolote mtaona watanzania watakavyo enjoy life. Pia kwa Dr slaa vilevile. Jana kuna mkurugenzi wa halmashauri fulani baada ya Magufuli kutwaa 3 bora akasema tumekwisha. Pia Dr slaa watu wanamjua vema. Taifa la Mungu twendeni church kwa wale rc alafu tukija mambo yote hadharani