Arusha Mjini, CHADEMA mlikuwa wapi miaka yote??

Mau Mau

JF-Expert Member
Dec 30, 2012
672
478
Jana baada ya kuingia Mjini Arusha na leo katika pitapita zangu, nimeshtushwa na pilika za usafi wa hali ya juu katika jiji hili.

Jiji ni safi sikuwahi kutegemea, hakika kichaa kapewa Rungu. Shikeni hapo hapo, hii ni faraja kwa wanaarusha kuwa hamuwaangushi. Hata sie wanaccm tunayaona mabadiliko mnayoonesha.

*MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU*
 
Jana baada ya kuingia Mjini Arusha na leo katika pitapita zangu, nimeshtushwa na pilika za usafi wa hali ya juu katika jiji hili.

Jiji ni safi sikuwahi kutegemea, hakika kichaa kapewa Rungu. Shikeni hapo hapo, hii ni faraja kwa wanaarusha kuwa hamuwaangushi. Hata sie wanaccm tunayaona mabadiliko mnayoonesha.

*MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU*
Umeandika nini?
 
Ndo uamini kwamba nyie Magamba ni mawakala wa ujinga, maradhi, umaskini na hata UCHAFU. Wenzenu (CHADEMA) wamebadili muonekano wa jiji, na sasa limekuwa la kuvutia wakati nyie mlilifubaza.
 
Mambo ya Geneva haya chadema ndio wameonesha kwa vitendo, ccm ilikuwa kula rushwa tu na mapato ya jiji, kasi ya chadema iliyop hapa jiji ndio imemfanya Gambo arukeruke kama maharage yaliykauka bila kukomaa kapata kizunguzungu haoni pa kurekebisha kila idara imetulia, haahaaa anamuogopa baba Jesca asimtumbue anabaki kukimbizana na kivuli chake. Viva chadema viva ukawa.
 
Ndo uamini kwamba nyie Magamba ni mawakala wa ujinga, maradhi, umaskini na hata UCHAFU. Wenzenu (CHADEMA) wamebadili muonekano wa jiji, na sasa limekuwa la kuvutia wakati nyie mlilifubaza.
Tanzania ya Magufuli kila mkoa sasa ni msafi tu.

Hongera sana jembe letu Magufuli rais wetu mpendwa.

Chadema wametawala Arusha tokea 2010 walikuwa wapi mpaka hii enzi ya chaguo la Mungu Magufuli ndio wafanye usafi?
 
Jana baada ya kuingia Mjini Arusha na leo katika pitapita zangu, nimeshtushwa na pilika za usafi wa hali ya juu katika jiji hili.

Jiji ni safi sikuwahi kutegemea, hakika kichaa kapewa Rungu. Shikeni hapo hapo, hii ni faraja kwa wanaarusha kuwa hamuwaangushi. Hata sie wanaccm tunayaona mabadiliko mnayoonesha.

*MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU*
Good Job Dc Mrisho Gambo, mkurugenzi mpya na Rc Felix Ntibenda
 
Tanzania ya Magufuli kila mkoa sasa ni msafi tu.

Hongera sana jembe letu Magufuli rais wetu mpendwa.

Chadema wametawala Arusha tokea 2010 walikuwa wapi mpaka hii enzi ya chaguo la Mungu Magufuli ndio wafanye usafi?
2010 chini ya mameya wa ccm waliokuwa wameingia kwa bao la mkono wao kazi yao ilikuwa kupambana na chadema tu na si kuleta maendeleo, Lyimo aliona jinsi ambavyo aliharibu jiji hata hakuthubutu tena kugombea udiwani hapo oloirien, sasa hivi halmashauri nzima chadema hakuna wa kukwamisha kazi, hata Magufuli alipokuwa Arusha alimsifia sana MEYA na kumwambia ni kiongozi wa kuigwa.
 
Jana baada ya kuingia Mjini Arusha na leo katika pitapita zangu, nimeshtushwa na pilika za usafi wa hali ya juu katika jiji hili.

Jiji ni safi sikuwahi kutegemea, hakika kichaa kapewa Rungu. Shikeni hapo hapo, hii ni faraja kwa wanaarusha kuwa hamuwaangushi. Hata sie wanaccm tunayaona mabadiliko mnayoonesha.

*MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU*
Karibu tena baada ya Hilo barabara km 30+ kujengwa kwa kiwango cha lami ndio utauona umahiri wa CDM/UKAWA; Jiji letu hakika litakuwa tamu kama mcharo! Big up kmnd Lema, Meya Calist na madiwani wetu wote, pigeni kazi JPM aduwae!
 
Tanzania ya Magufuli kila mkoa sasa ni msafi tu.

Hongera sana jembe letu Magufuli rais wetu mpendwa.

Chadema wametawala Arusha tokea 2010 walikuwa wapi mpaka hii enzi ya chaguo la Mungu Magufuli ndio wafanye usafi?
Kazi za jiji ziko chini ya halmashauri ambayo mpaka 2015 ilikuwa chini ya CCM. Mbunge ni mjumbe wa halmashauri tu na hana VETO.
Sasa haya unayoyaandika hayaakisi ukweli wa mambo
 
Mbeya pamoja na kutokuwa safi saaana,lakini angalau tunaona mabadiliko,tunachukua na tuzo za usafi sasa hivi,kweli CHADEMA NI DAWA
 
Jana baada ya kuingia Mjini Arusha na leo katika pitapita zangu, nimeshtushwa na pilika za usafi wa hali ya juu katika jiji hili.

Jiji ni safi sikuwahi kutegemea, hakika kichaa kapewa Rungu. Shikeni hapo hapo, hii ni faraja kwa wanaarusha kuwa hamuwaangushi. Hata sie wanaccm tunayaona mabadiliko mnayoonesha.

*MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU*
Wewe kumbe ndio umeamka!,mbona usafi ni desturi huko.
 
Kazi za jiji ziko chini ya halmashauri ambayo mpaka 2015 ilikuwa chini ya CCM. Mbunge ni mjumbe wa halmashauri tu na hana VETO.
Sasa haya unayoyaandika hayaakisi ukweli wa mambo
Mkuu mpk 2015 inaisha jiji lilikuwa chafu sana, na madiwani ndio wajumbe wa halmashauri, na nimesikia eti chadema ktk hyo halmashauri wana madiwani zaid ya 30 na sie CCM mmoja tu
 
Back
Top Bottom