Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Nina nyumba,biashara,elimu nzuri na maisha mazuri tu,sema kingine ambacho sinaMawazo yako yamejaa ngono hivi wewe una hata baiskeli kweli?
Nawacwac na postgraduate yako, umefanya machapisho yyte, umegraduate kweli, au umegraduate madem wazuri,,,,,Nina nyumba,biashara,elimu nzuri na maisha mazuri tu,sema kingine ambacho sina
Unaviota ndottoni au??amka kakojoe ,halafu rudi kulala maana nisipokuamsha utakojoa kitandani kama kawaida yako..... PumbafuuuNina nyumba,biashara,elimu nzuri na maisha mazuri tu,sema kingine ambacho sina
HahahahaMawazo yako yamejaa ngono hivi wewe una hata baiskeli kweli?
Kama hutaki kuona haya nenda kwenye jukwaa la uchumi. Nawe ni ngonolistic ndiyo maana umefungua na kuchungulia kilichomo.Mawazo yako yamejaa ngono hivi wewe una hata baiskeli kweli?
Flat screen nyingi sana zapatikana huko!!Nimetembelea na kuishi katika hii mikoa
Kwa kweli imejaliwa wanawake wengi warembo wazuri wa asili na weupe wa asili
Nimekaa Arusha almost 1 year nikichukua Postgraduate pale,nimejionea watoto wazuri ambao nimelinganisha na wa mikoa mingine ya Tz na kuona hakuna wa kuwazidi wa Arusha,Manyara na Kilimanjaro
*Wamburu
*Wachaga
*Waarusha
*Wamasai
*Wameru
Ni shida hawa watoto ni wazuri
Nlikamataga mtoto mmoja wa kimeru toka kule kwa mangushi jirani na Joshua Nasarri mtoto ni nzuri sana ila sikuoa nlichapa nkatembea
Ukipita Shivaz,Clock Tower au Matejo unakutana na Malaya wazuri wanauza nyapu
Mungu akipenda ntaenda kuoa Arusha au Manyara,wachaga siwataki wanapiga mahari ndefu sana.