Arusha: MADIWANI WALIOTIMULIWA CDM KUGOMBEA KUPITIA NCCR

Nipo Arusha hivi sasa kikazi lakini kwakuwa Jiji hili ni ngome ya makamanda wa CHADEMA sikusita kufanya kautafiti kangu kadogo na huu ndio UWELI.

Kwa mujibu wa Bwana Bayo ambaye alikuwa Diwani wa kata ya Elerai anasema mbali na kukata rufaa juu ya maamuzi ya mahakama yaliyotolewa hivi karibuni dhidi yao lakini madiwani wote waliotimuliwa na CHADEMA wanategemea kugombea tena kupitia chama cha NCCR-MAGEUZI. Na kwa mujibu wake huyo Bayo, mkakati madhubuti unaandaliwa kuhakikisha wanashinda uchaguzi huo.

Nimejiuliza maswali mengi, mojawapo ni hili, wataamuaje kugombea kwa tiketi ya NCCR wakati wanakata rufaa? Je rufaa yao ikikubaliwa na mahakama ikawapa haki ya kuendelea kuwa madiwani wa Chadema mpango wao wa kuhamia NCCR utayeyuka au washajua mbali na kukata rufaa lakini watachemsha tena?

Acha waende tu wakapumzike kwa amani huko nccr mageuzi. wameona aibu kwenda kwa magamba ama magamba wamegoma kuwapokea?
 
Kama ni kweli "WOTE" wameamua kwenda NCCR basi hawa watu ni wagonjwa, na kuna mtu anawaendesha na kuwatumia kwa Maslahi machafu kisiasa. Hawa jamaa ni genge la wahuni, na waliingia CDM kwa bahati mbaya sana, na uzuri wameshitukiwa mapema!
 
Mnataka kuwanyang'anya na haki zao za KIKATIBA na KIRAIA za NCHI hii? Acheni wagombee wanakotaka. Binafsi naichukia sana ile sheria iliyowavua UDIWANI kwani naamini kwa siasa za nchi hii anachaguliwa MTU sio CHAMA.

Sheria hii ni mbaya, ingebadilishwa ingesaidia sana wabunge na madiwani kuwa huru..kutoka kwenye pressure za vyama
 
Mnataka kuwanyang'anya na haki zao za KIKATIBA na KIRAIA za NCHI hii? Acheni wagombee wanakotaka. Binafsi naichukia sana ile sheria iliyowavua UDIWANI kwani naamini kwa siasa za nchi hii anachaguliwa MTU sio CHAMA.
You are dead-wrong friend!
Enzi hizo zishapita sana, na sasa tunaangalia chama...
Kama kusingekuwa na sheria hiyo unadhani nidhamu ndani ya chama ingekuwa ensured vipi?
 
Kama ni kweli "WOTE" wameamua kwenda NCCR basi hawa watu ni wagonjwa, na kuna mtu anawaendesha na kuwatumia kwa Maslahi machafu kisiasa. Hawa jamaa ni genge la wahuni, na waliingia CDM kwa bahati mbaya sana, na uzuri wameshitukiwa mapema!
Mh! Mbona wote walikuwa CHADEMA. Wote kwenda NCCR inakuwa nongwa. Adhabu mliowapa inatosha. Waacheni.
 
Na iwe fundisho kwa wana cdm wenye vijitabia vyakujiona xao ni zaidi ya chama. Na changamotn kwenu mloshindwa kuwavua wenzenu magamba
 
Nipo Arusha hivi sasa kikazi lakini kwakuwa Jiji hili ni ngome ya makamanda wa CHADEMA sikusita kufanya kautafiti kangu kadogo na huu ndio UWELI.

Kwa mujibu wa Bwana Bayo ambaye alikuwa Diwani wa kata ya Elerai anasema mbali na kukata rufaa juu ya maamuzi ya mahakama yaliyotolewa hivi karibuni dhidi yao lakini madiwani wote waliotimuliwa na CHADEMA wanategemea kugombea tena kupitia chama cha NCCR-MAGEUZI. Na kwa mujibu wake huyo Bayo, mkakati madhubuti unaandaliwa kuhakikisha wanashinda uchaguzi huo.

Nimejiuliza maswali mengi, mojawapo ni hili, wataamuaje kugombea kwa tiketi ya NCCR wakati wanakata rufaa? Je rufaa yao ikikubaliwa na mahakama ikawapa haki ya kuendelea kuwa madiwani wa Chadema mpango wao wa kuhamia NCCR utayeyuka au washajua mbali na kukata rufaa lakini watachemsha tena?
Halafu weye jamaa unaingia jiji la watu bila hata kugonga mlango aisee!...acha hizo chalii yangu!...Ngarenaro vp wazima?
 
You are dead-wrong friend!
Enzi hizo zishapita sana, na sasa tunaangalia chama...
Kama kusingekuwa na sheria hiyo unadhani nidhamu ndani ya chama ingekuwa ensured vipi?
Nidhamu ya nini kwenye SIASA? Unajua kwamba walichaguliwa na watu wengi tu wasio wanachama wa CHADEMA?
 
Nidhamu ya nini kwenye SIASA? Unajua kwamba walichaguliwa na watu wengi tu wasio wanachama wa CHADEMA?
Taasisi gani isiyohitaji nidhamu chini ya jua?
Umeathiriwa sana na siasa za Tanzania zisizo na nidhamu nini mkuu?...
 
wamefanya vema, kwani wamejua wakienda ccm ndo utakuwa mwsho wao 7babu inaelekea kufa.
 
Kwani nccr hawakuwa na wanachama kabla? Au taratibu za kugombea nafasi kwao zikoje? Mtu anateuliwa na chama baada ya mchujo au mtu anaweza kutoka hata ccm akaenda tume
akawaambia kwamba nimekuja kugombea kwa tiketi ya nccr wakamruhusu tu!

Kwa sasa hao madiwani wanashauriwa na Chama cha magamba. Kwa vile NCCR ni moja ya CCM B, itakuwa rahisi kupunguza kura za wagombea wa CDM na kuwafanya wale wa CCM kupita. Kwa sasa NCCR imepoteza imani kwa wananchi kwahiyo ujio wa hao madiwani wapuuzi kwao itakuwa neema na kwa vile mission itakuwa kuiangusha CDM wakishirikiana na CCM. Nina imani mpango wao huo hautafanikiwa, CDM wataibuka kidedea usicheze na nguvu ya umma bwana.
 
Back
Top Bottom