Arusha: MADIWANI WALIOTIMULIWA CDM KUGOMBEA KUPITIA NCCR

njaa inawasumbua ina maana NCCR ndio jalala la viongozi wasioheshimu katiba ya chama kilichowapa dhamana ya kuongoza na kutekeleza sera zake wapeni pole
 
Mkuu,
That is a great mistake! Kura watagawana wao na ccm. Kura za cdm Arusha huwa hazigwanyiki. Ndio wanakirahisishia cdm kurudisha kata zao!

kula tano Mkuu! Kura za chadema hazigawanyiki kwa namba yoyote! Najua kwenye uchaguzi wa hizi kata za Arusha ccm watatumia pesa nyingi kusimamisha vyama vingi kugombe, wakidhani wanapunguza kura za chadema, kumbe wanajimaliza wenyewe! Ningependelea kule Igunga waendelee kupiga miti wake za makada wao kule Igunga ili wawarahisishie kazi chadema!
 
Nipo Arusha hivi sasa kikazi lakini kwakuwa Jiji hili ni ngome ya makamanda wa CHADEMA sikusita kufanya kautafiti kangu kadogo na huu ndio UWELI.

Kwa mujibu wa Bwana Bayo ambaye alikuwa Diwani wa kata ya Elerai anasema mbali na kukata rufaa juu ya maamuzi ya mahakama yaliyotolewa hivi karibuni dhidi yao lakini madiwani wote waliotimuliwa na CHADEMA wanategemea kugombea tena kupitia chama cha NCCR-MAGEUZI. Na kwa mujibu wake huyo Bayo, mkakati madhubuti unaandaliwa kuhakikisha wanashinda uchaguzi huo.

Nimejiuliza maswali mengi, mojawapo ni hili, wataamuaje kugombea kwa tiketi ya NCCR wakati wanakata rufaa? Je rufaa yao ikikubaliwa na mahakama ikawapa haki ya kuendelea kuwa madiwani wa Chadema mpango wao wa kuhamia NCCR utayeyuka au washajua mbali na kukata rufaa lakini watachemsha tena?

Hao jamaa ninawadediketia lisong hili hapa..
Dead and Gone T.I. Ft. Justin Timberlake [Official Music Video] - YouTube
 
Mnataka kuwanyang'anya na haki zao za KIKATIBA na KIRAIA za NCHI hii? Acheni wagombee wanakotaka. Binafsi naichukia sana ile sheria iliyowavua UDIWANI kwani naamini kwa siasa za nchi hii anachaguliwa MTU sio CHAMA.
Acheni ushabiki mpaka mnaonyesha na kitu mnachoongea hamjui unataja sheria bado sheria hiyohiyo inataka mtu kutoka katika chama wakati mwingine watu pia uchagua chama ukubaliane na mimi ukatae ndo hivo
 
wameweza kuifanya kazi ya ccm bila mafanikio kwanini wasijiunge na CCM B a.k.a CUF?
 
Siasa za Tanzania wakati mwingine ni kama katuni sasa inakuwaje mtu akahamia chama ambacho sera zake haziamini hawa jamaa si ajabu hata ukisikia wamehamia CCM hawa ni wansiasa uchwara..!!!! ni wachumia tumbo hawajui kama kazi ya siasa ni wito sio sehemu ya kuchuma mali kirahisi...


Nipo Arusha hivi sasa kikazi lakini kwakuwa Jiji hili ni ngome ya makamanda wa CHADEMA sikusita kufanya kautafiti kangu kadogo na huu ndio UWELI.

Kwa mujibu wa Bwana Bayo ambaye alikuwa Diwani wa kata ya Elerai anasema mbali na kukata rufaa juu ya maamuzi ya mahakama yaliyotolewa hivi karibuni dhidi yao lakini madiwani wote waliotimuliwa na CHADEMA wanategemea kugombea tena kupitia chama cha NCCR-MAGEUZI. Na kwa mujibu wake huyo Bayo, mkakati madhubuti unaandaliwa kuhakikisha wanashinda uchaguzi huo.

Nimejiuliza maswali mengi, mojawapo ni hili, wataamuaje kugombea kwa tiketi ya NCCR wakati wanakata rufaa? Je rufaa yao ikikubaliwa na mahakama ikawapa haki ya kuendelea kuwa madiwani wa Chadema mpango wao wa kuhamia NCCR utayeyuka au washajua mbali na kukata rufaa lakini watachemsha tena?
 
Back
Top Bottom