Akili zingine ukwaju kweli sijui umepata wapi mamlaka ya kuwasemea watanzania...
Kama mnataka kujitenga ni nyie Wachagga sisi watanzania bado ni wamoja..
Mnatataka kuleta fujo nchini na mvunje amani
Kukuibia nini?... hivi kati ya arusha na mtwara au lindi ni wpi wana rasilimali za maana? unaweza kufananisha 8 trillion cubic feet za gesi na mgodi gani hapa Tanzania?wapo wengi sana humu. Wanatetea tusijitenge ili waendelee kutuibia.
Upeo na maono yako hayafikirii vizazi vijavyo bali u comedy. Hii ni hatari sana, endapo JK hatatoa kauli juu ya mustakabali wa nchi yetu ilipofikia sasa ni dhahiri kila mtu atafanya anachokijua. Rais ni kama refa, endapo refa yupo kimya na rafu ni nyingi nina mashaka na mpambano huo kama utaisha salama.
Kwa mantinki hiyo, nina mashaka kama Kikwete ataliza salama ngwe yake hii ya pili.
Upeo na maono yako hayafikirii vizazi vijavyo bali u comedy. Hii ni hatari sana, endapo JK hatatoa kauli juu ya mustakabali wa nchi yetu ilipofikia sasa ni dhahiri kila mtu atafanya anachokijua. Rais ni kama refa, endapo refa yupo kimya na rafu ni nyingi nina mashaka na mpambano huo kama utaisha salama.
Kwa mantinki hiyo, nina mashaka kama Kikwete ataliza salama ngwe yake hii ya pili.
wapo wengi sana humu. Wanatetea tusijitenge ili waendelee kutuibia.
Hawa si ndio wale Wakenya walio ingia kwa njia za panya.Kukuibia nini?... hivi kati ya arusha na mtwara au lindi ni wpi wana rasilimali za maana? unaweza kufananisha 8 trillion cubic feet za gesi na mgodi gani hapa Tanzania?
Most of you guys are not natives of Arusha anyways!
Pasipo kujalisha itikadi yangu, hakuna kitu nitakipinga na kukitetea kama Tanganyika yangu....Bora Tanzania ipotee lakini Tanganyika ibakie
Naomba tusifike huko pa kugawanyika na Mungu atusaidie yeyote mwenye kutaka kugawa (ama yeye kuwa sababu au kufanya hivyo as a responce) malengo hayo yakapotee
Tanganyika nchi yangu nakupenda na udumu kama ulivyo bila kugawanyika na Watu wote tupiganie hili maana
ndiyo fahari yetu
kaka!!!! you are overworking youself kwa mawazo ya huo ujinga hapo juu!!!!!!!!!!!!!!!! hata kama ni hujuma hii sasa imefikia kubaya. nadhani ile dhana kuwa serikali ni dhaifu watu wanataka kupotoka nayo. liberal goverment is non dictator goverment.Pasipo kujalisha itikadi yangu, hakuna kitu nitakipinga na kukitetea kama Tanganyika yangu....Bora Tanzania ipotee lakini Tanganyika ibakie
Naomba tusifike huko pa kugawanyika na Mungu atusaidie yeyote mwenye kutaka kugawa (ama yeye kuwa sababu au kufanya hivyo as a responce) malengo hayo yakapotee
Tanganyika nchi yangu nakupenda na udumu kama ulivyo bila kugawanyika na Watu wote tupiganie hili maana ndiyo fahari yetu
Jamhuri ya wanywa mbege!