Arusha kupandisha Bendera yake?

Waajiriwa wa Nape wapo wengi sana humu jamvini,huu ukibaraka wa kuwa chama cha mkoloni mweusi Magamba CCM utaisha lini jamani! Hi nchi bwana wakati mwingine unawaza ni bora iuzwe harafu kila mtu apewe chake ajue anakwenda kuishi wapi! Fikra mgando za CCM ndiyo zilizotufikisha.
 
Wewe endelea kutukana hayo ni matunda ya malezi uliyopata kutoka kwa wazazi wako

Ckutukani we mtoto wa mafisadi! Ila najaribu kukuelimisha angalau kama utaelimika nawe uweze kujenga Taifa ktk haki kwani mafisadi wanakokupeleka ni pabaya nyau wee!!
 
Ckutukani we mtoto wa mafisadi! Ila najaribu kukuelimisha angalau kawa utaelimika nawe uweze kujenga Taifa ktk haki kwani mafisadi wanakokupeleka ni pabaya nyau wee!!

Kuniita Nguruwe ndio kunielimisha? Mwaga matusi kijana huo ndio uzalendo wa Chadema
 
Waajiriwa wa Nape wapo wengi sana humu jamvini,huu ukibaraka wa kuwa chama cha mkoloni mweusi Magamba CCM utaisha lini jamani! Hi nchi bwana wakati mwingine unawaza ni bora iuzwe harafu kila mtu apewe chake ajue anakwenda kuishi wapi! Fikra mgando za CCM ndiyo zilizotufikisha.

wapo wengi sana humu. Wanatetea tusijitenge ili waendelee kutuibia.
 
Sitaki kusikia eti siku moja Arusha ikiitwa nchi jirani.
Sitaki kuona mtu kutoka Tabora akikamatwa Arusha kama mhamiaji haramu.
Udhalimu wa CCM unaweza kuondolewa bila kujitenga.
 
Manyanyaso yanayofanywa na serikali ya ccm dhidi ya watu wa kanda ya kaskazini hususan Arusha yanafanya watu wafikirie kupandisha bendera yao.
Vile vile kitendo cha serikali kukaa kimya kuhusu kutatua migogoro ya Arusha, kutopinga kauli ya umoja wa vijana uvccm kwamba rais wa tanzania hatatoka kanda ya kaskazini kamwe tena mbele ya mtoto wa rais ni dharau kubwa sana kwa watu wa kanda ya kaskazini.
Matumizi ya mabavu rather that diplomatic table, hasa kwa kutumia jeshi la polisi kwa kuwapiga watu wetu inaonyesha dharau kubwa sana kwa kanda ya kaskazini hasa kwenye maeneo ambayo yameonyesha mwamko mkubwa kisiasa.

Kanda ya kaskazini na magharibi, yaani Mkoa wa Mwanza, Shinyanga, Arusha, Kilimanjaro, Mara, Manyara zikiungana zinaweza kujiendesha bila kutegemea msaada kutoka sehemu nyingine.
Mikoa hii ina rasilimali za kutosha, hivyo wakimchagua kiongozi (siyo aliyechaguliwa na nec) bora wanaweza kuwasaidia wananchi kwenye suala la maendeleo.
Imetosha kunyanyaswa na serikali ya ccm.

nawakilisha.

Hilo ndilo linalotakiwa kila mkoa ujitangazie uhuru wake, kwani tz ina makabila au kanda flani wanatakiwa kuwa rais?
 
kijana show some little respect you have for the Chagga people!!!! there is no where kwenye hiyo habari mtu ametaja wachagga ndo wanataka kupandisha bendere!!! you are suffering from a cronic desease know as THE FEAR OF THE UNKNOWN!!! GROW UP AND MATURE!!! be a gentleman!!!
 
Angalia Wachagga walivyo kwa hiyo Arusha nzima ni ya Mallya Tumbo?

Hii nchi ikiendelea kama ilivyo hivi sasa kujitenga au vita ya wenyewe kwa wenyewe itatokea. Haya mambo ya watu kuunganishwa ovyo ovyo na wakoloni ndo yameleta maafa na mapigano afrika. kwa mfano watu wa kaskazini kuunganishwa na wafuga mabusha nchi moja siyo sahihi, wewe ulisikia nchi gani eti raisi anaitwa mwinyi.
 
Hii nchi ikiendelea kama ilivyo hivi sasa kujitenga au vita ya wenyewe kwa wenyewe itatokea. Haya mambo ya watu kuunganishwa ovyo ovyo na wakoloni ndo yameleta maafa na mapigano afrika. kwa mfano watu wa kaskazini kuunganishwa na wafuga mabusha nchi moja siyo sahihi, wewe ulisikia nchi gani eti raisi anaitwa mwinyi.

Ni makosa makubwa sana kama unavyosema rais kuitwa Mwinyi..

Rais anatakiwa aitwe Lema, Mallya, Kilawila, Kweka, Kinabo, Mushi, Kiria,

Fanyeni haraka mtangaze taifa la Wachagga
 
Pasipo kujalisha itikadi yangu, hakuna kitu nitakipinga na kukitetea kama Tanganyika yangu....Bora Tanzania ipotee lakini Tanganyika ibakie

Naomba tusifike huko pa kugawanyika na Mungu atusaidie yeyote mwenye kutaka kugawa (ama yeye kuwa sababu au kufanya hivyo as a responce) malengo hayo yakapotee

Tanganyika nchi yangu nakupenda na udumu kama ulivyo bila kugawanyika na Watu wote tupiganie hili maana ndiyo fahari yetu

Hili naliunga mkono mkuu
 
Akili zingine ukwaju kweli sijui umepata wapi mamlaka ya kuwasemea watanzania...

Kama mnataka kujitenga ni nyie Wachagga sisi watanzania bado ni wamoja..

Mnatataka kuleta fujo nchini na mvunje amani

Wewe ni mmoja na mafisadi sio watanzania futa kauli yako mara moja.
 
Back
Top Bottom