Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,789
- 1,231
teh.. teh.... teh...!Wanataka kujitenga na mali zetu tulizowekeza Arusha na Kilimanjaro tumuachie nani? Mimi binafsi miradi yangu huko pamoja na hotel
teh.. teh.... teh...!Wanataka kujitenga na mali zetu tulizowekeza Arusha na Kilimanjaro tumuachie nani? Mimi binafsi miradi yangu huko pamoja na hotel
Uraisi apewe Shibuda halafu hiyo nchi iitwe ZE KOMEDY
Wewe endelea kutukana hayo ni matunda ya malezi uliyopata kutoka kwa wazazi wako
Wewe endelea kutukana hayo ni matunda ya malezi uliyopata kutoka kwa wazazi wako
Ckutukani we mtoto wa mafisadi! Ila najaribu kukuelimisha angalau kawa utaelimika nawe uweze kujenga Taifa ktk haki kwani mafisadi wanakokupeleka ni pabaya nyau wee!!
Waajiriwa wa Nape wapo wengi sana humu jamvini,huu ukibaraka wa kuwa chama cha mkoloni mweusi Magamba CCM utaisha lini jamani! Hi nchi bwana wakati mwingine unawaza ni bora iuzwe harafu kila mtu apewe chake ajue anakwenda kuishi wapi! Fikra mgando za CCM ndiyo zilizotufikisha.
Manyanyaso yanayofanywa na serikali ya ccm dhidi ya watu wa kanda ya kaskazini hususan Arusha yanafanya watu wafikirie kupandisha bendera yao.
Vile vile kitendo cha serikali kukaa kimya kuhusu kutatua migogoro ya Arusha, kutopinga kauli ya umoja wa vijana uvccm kwamba rais wa tanzania hatatoka kanda ya kaskazini kamwe tena mbele ya mtoto wa rais ni dharau kubwa sana kwa watu wa kanda ya kaskazini.
Matumizi ya mabavu rather that diplomatic table, hasa kwa kutumia jeshi la polisi kwa kuwapiga watu wetu inaonyesha dharau kubwa sana kwa kanda ya kaskazini hasa kwenye maeneo ambayo yameonyesha mwamko mkubwa kisiasa.
Kanda ya kaskazini na magharibi, yaani Mkoa wa Mwanza, Shinyanga, Arusha, Kilimanjaro, Mara, Manyara zikiungana zinaweza kujiendesha bila kutegemea msaada kutoka sehemu nyingine.
Mikoa hii ina rasilimali za kutosha, hivyo wakimchagua kiongozi (siyo aliyechaguliwa na nec) bora wanaweza kuwasaidia wananchi kwenye suala la maendeleo.
Imetosha kunyanyaswa na serikali ya ccm.
nawakilisha.
>>>Miafrika ndivyo Ilivyo..by Nyani Ngabu signature
Angalia Wachagga walivyo kwa hiyo Arusha nzima ni ya Mallya Tumbo?
Hii nchi ikiendelea kama ilivyo hivi sasa kujitenga au vita ya wenyewe kwa wenyewe itatokea. Haya mambo ya watu kuunganishwa ovyo ovyo na wakoloni ndo yameleta maafa na mapigano afrika. kwa mfano watu wa kaskazini kuunganishwa na wafuga mabusha nchi moja siyo sahihi, wewe ulisikia nchi gani eti raisi anaitwa mwinyi.
Ikulu inahamia bilicanas
Pasipo kujalisha itikadi yangu, hakuna kitu nitakipinga na kukitetea kama Tanganyika yangu....Bora Tanzania ipotee lakini Tanganyika ibakie
Naomba tusifike huko pa kugawanyika na Mungu atusaidie yeyote mwenye kutaka kugawa (ama yeye kuwa sababu au kufanya hivyo as a responce) malengo hayo yakapotee
Tanganyika nchi yangu nakupenda na udumu kama ulivyo bila kugawanyika na Watu wote tupiganie hili maana ndiyo fahari yetu
Akili zingine ukwaju kweli sijui umepata wapi mamlaka ya kuwasemea watanzania...
Kama mnataka kujitenga ni nyie Wachagga sisi watanzania bado ni wamoja..
Mnatataka kuleta fujo nchini na mvunje amani
Wachaga wakitaka kitu basi watatumia njia yeyote wakipate. Hii ndio hulka yao. Wale wa kwetu huku usukumani ni maboya tu.