Arusha: Kituo cha daladala Kilombero hakikidhi viwango

Blah blah blah.

Hizo ni future expectations ambazo sio guranteed Tunaongelea present events.

Hata Dar miaka mitano ijayo itakuwa unstoppable.

Miaka 60 ya uhuru stand ya kilombero ni worst nightmare, stand ya mabasi ya mikoa ni uchafu wa aina yake.

Arusha city centre ipo crumbled to the centre, sewage system ndo inawekwa sahivi. Roads are old fashioned kasoro ile ya east africa.
na sewage system sio kwamba haikuwepo ila inayowekwa sasa hivi ndio the best in Tanzania mradi wa 520bl ambapo kila mtaa around the city utakua umeonganishwa.
watu wa iliyokua kanda pendwa mtaendelea kujisaidia ziwani tu hamna namna🤣🤣
 
jibu swali wewe ni msukuma wa bariadi au misungwi tuanzie hapo kwanza
Ujue kabila langu litaongeza kiasi gani kwenye akaunti yako ya benki?

Weka hoja mezani, au baba ako aliuza ng'ombe akapeleka kondoo shule?
 
na sewage system sio kwamba haikuwepo ila inayowekwa sasa hivi ndio the best in Tanzania mradi wa 520bl ambapo kila mtaa around the city utakua umeonganishwa.
watu wa iliyokua kanda pendwa mtaendelea kujisaidia ziwani tu hamna namna
Arusha ni kamji chenye miundombinu ya miaka ya 90.

Public transport ilishapigwa marufuku Dar center miaka 20 iliopita.

Arusha hawana hata vituo vya daladala, mtu anajisimamia popote atakapo.
 
Ujue kabila langu litaongeza kiasi gani kwenye akaunti yako ya benki?

Weka hoja mezani, au baba ako aliuza ng'ombe akapeleka kondoo shule?
usukuma wako tushaujua mzee wa kahama 🤣🤣 mnaukabila sana nyie watu ndio maana mnaufukara wa kutupwa kila siku wa mwisho nyie
Na hiyo elimu yako yakiutopolo we msukuma ndio iliyokufundisha mufindi ina mapato kuliko Arusha 😥
 
Ujue kabila langu litaongeza kiasi gani kwenye akaunti yako ya benki?

Weka hoja mezani, au baba ako aliuza ng'ombe akapeleka kondoo shule?
usukuma wako tushaujua mzee wa kahama 🤣🤣 mnaukabila sana nyie watu ndio maana mnaufukara wa kutupwa kila siku wa mwisho nyie
Na hiyo elimu yako yakiutopolo we msukuma ndio iliyokufundisha mufindi ina mapato kuliko Arusha
 
Arusha ni kamji chenye miundombinu ya miaka ya 90.

Public transport ilishapigwa marufuku Dar center miaka 20 iliopita.

Arusha hawana hata vituo vya daladala, mtu anajisimamia popote atakapo.
Kweli popote ni kituo,.
 
Arusha inatakiwa kuwa na lami kila uchochoro,, taa kila sehemu, usafiri mzuri wa umma, usalama wa kutosha nk, nk. Watalii wa leo hawapendi miji michafu. Watatupiaje picha insta na background ni vipanya na mauchafu mengine! Serikali inatakiwa kuiangalia kama mji wa kimkakati.
Umemaliza mzee.

Yaani hata utendaji wa jiji ungetosha sana kuuboresha huo mji kwa kuzingatia mapato yao ya ndani.

Serikali kuu ingekuwa inafanya zike project kubwa ama kuongezea support.

Jiji la Arusha litazamwe
 
Majiji yametofautiana,mbeya mjini na vitongoji vyake ni rosa,civilian/journey na coaster ila kutoka mjini kwenda wilayani na mikoa ya karibu ni coaster tena zile pamba kwelikweli,sasa arusha inakuwaje mnakuwa na vipanya mjini!
 
Kweli popote ni kituo,.
sikatai Arusha sio mji ambao ni mkubwa kama dar Arusha ni mji ambao ni unique in it's own way.... local authorities ndani ya Arusha haziko makini kwa sababu hiyo ni kazi yao na arusha ni diplomatic hub hao watalii na diplomats wana usafiri wao au wanaweza kutumia uber huu usafiri wa daladala tunatumia sisi locals na ndio staili tuliyoizoea gari linasimama unapotaka kwasababu mji hauko occupied hivo lakini hoja ni kwamba kuna watu wanaleta personal attacks kwa watu wa Arusha mfano mtu anasema sipendi arusha kisa wote ni wavuta bangi au walevi! really metropolitan hub kama arusha wote tuwe walevi? lakini pamoja na hayo bado apart from dar hamna mji wowote unaweza ingia kwa Arusha
 
Umemaliza mzee.

Yaani hata utendaji wa jiji ungetosha sana kuuboresha huo mji kwa kuzingatia mapato yao ya ndani.

Serikali kuu ingekuwa inafanya zike project kubwa ama kuongezea support.

Jiji la Arusha litazamwe
safi mzee
this is what i call constructive argument
kuna zwazwa mmoja wa ziwani huko ananiambia eti hata mufindi inamapato kuliko Arusha 🤣 ushabiki tu wa kipumbavu😎

Arusha ina mapato mengi sana hata juzi ripoti za mwezi huu zinaonesha Arusha inaongoza kwa majiji kwa makusanyo lakini miundombinu local governance hawatutendei haki kabisa taa zipo lakini haziwaki kitu kidogo kama hicho kinawashinda too sad😥
 
Majiji yametofautiana,mbeya mjini na vitongoji vyake ni rosa,civilian/journey na coaster ila kutoka mjini kwenda wilayani na mikoa ya karibu ni coaster tena zile pamba kwelikweli,sasa arusha inakuwaje mnakuwa na vipanya mjini!
hata coaster pia zipo ila hazipo nyingi lakini hata zikiwepo as long as people wako comfortable it's fine nenda nairobi nenda jo'berg still kunaivo mnavoviita vipanya kwanini ukae usubiri coaster la watu 30 lijae na kuna hiace ya watu 15 na tena Arusha wakikuta umepaki coaster lako hapo wanaliacha wanaenda kwenye hiace sababu inajaa haraka inasave time

lakini pia kama umekuja kutalii mkuu huwezi kusumbuka na kutafuta hiace kuna private transport nyingi tu kama uber, tax ila kwa sisi locals tuko sawa

inshort Arusha ni mji wa utalii kwahio kama unapanga kutembelea uje na mshiko hasa huku kuna hoteli unaweza kutua hata na helicopta yako ni wewe tu mkuu😎🤣
 
Back
Top Bottom