Arusha kiboko ya Mademu wazuri Tanzania

Arusha kiboko ya Mademu wazuri Tanzania

Arusha ni komesha harafu wapo wengi wazuri sio wa kuokota okota hawa Wananchi ni wazuri aisee potelea mbali...utadhani wamejitengeneza wenyewe hizi shepu huku tunapata pisi za ukweli aisee...
 
Arusha nimekaa miaka minne na kweli watoto wapo bomba Hii ni kwasababu wengi wametokea makabila ya singida na manyara nazungumzia wanyaturu, warangi (wambulu), wanyiramba, Wairaqw , n.k

Kwa hio kwa kuhitimisha ni kwmaba hizo pisi unazoziana hapo ambazo ni kali zimejazana sana huko singida na manyara.

Ni mabinti poa sana ila inabidi uwagande haswa maana wengi wa makabila nliyoyataja hawajui kukataa, Ndiko walikotoka kina shilole
Hapa hatuongelei wakazi wa Arusha hapa ni kabila za Arusha ndio zinazozungumziwa, ingekuwa hivyo angetaja singida walikojaa wanyaturu na wanyiramba au Dodoma walikojaa warangi. Halafu warangi siyo wambulu kama ulivyoandika, waIraqw ndio wambulu
 
Wadau,

Nimebahatika kufika mikoa mingi sana Tanzania but kwa Arusha nimezima fegi kuna wanawake wazuri sana wana rangi fulani hivi so natural wana figure nzuri, halafu waelewa na wajanja tofauti na wanawake wa Dar wengi wana uzuri wa kujitengeneza na wezi wezi tu.

Wanawake wa mkoa gani we unaona ni wazuri zaidi ya Chuga?
Mkuu umeshaandaa wosia?nauliza tu.
 
Sensa haijatoa takwimu za mkoa wenye wanawake wazuri?
 
Duuh mkuu angalia wapo walio wakweli na wengine washenzi watoto wa Singida ,Babati wazuri tatizo tabia ya kumpa mwanaume kila anayeomba aaah hata kama mke wa mtu watu wanaruka majoka hivyo unatengeneza jamvi la wageni imeeleweka hivyo.
 
Nilichogundua kwamba kila sehemu kuna wanawake wazuri hata ukienda Sitimbi ,Nkasi ,Namtumbo au Kazulamimba utakutana na wanawake wazuri!!
Kigoma hakuna wanawake wazuri..usipotoshe umma
 
Kesho naunga safati ya Moja kea moja kutoka Nairobi Hadi Arusha ili nije nijionee watoto wazuri wa huko ikiwezekana niopoe mmoja nije nioe.

Ila Tanzania imebarikiwa wanawake wazuri Sana.
 
Naona wadau humu mnawapita watoto wa kiluguru.
Shauri yenu.
 
Sio wazuri wakawaida sana ..kingine hawanaga tabasumu , confidence zero,Hawana hulka za kike na hawafai kuwa wake ...ukiangalia wale watu wazima wengi Arusha wanajielewa ila wasichana wadogo makamo ya kati hawajitambui wanajifanananisha na wanaume...Tatizo meno ni kubwa sijui kwa nn Yale maji mnakunywa bila zile systems na kuchuja fluoride..wapo wengine kama vibogoyo kabisa hawana tabasamu hapa dsm wamejaza kweny clinic za meno kutakatisha na wakuja huku miaka kadhaa wanakuwa wasichana wazuri kule kwao hawapataki Tena.
 
Back
Top Bottom