Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,915
- 14,638
Achana na hao watoto wa kinyaturu Mkuu....Singida unaijua mkuu?
Tabora wako vizuri harafu ni warefu sio viandunje harafu macho makubwa meupew
vifupi vifupi flan eeeUlipokwenda Arusha nadhani ulipitia Same. Vipi ? Hukuona dada zangu wa kipare wanavyozuusha migongo wakitembea. Ulitupa neno ukaambiwa NO ? Watoto wako Same achana na wasichana wahuni wa Arusha wanaagiza nyama choma bar mpaka utumbo wa kuchoma na bia.
Picha basiWadau,nimebahatika kufika mikoa mingi sana Tanzania but kwa Arusha nimezima fegi kuna wanawake wazuri sana wana rangi flani hivi so natural wana figure nzuri,halafu waelewa na wajanja tofauti na wanawake wa Dar wengi wana uzuri wa kujitengeneza na wezi wezi tu,wanawake wa mkoa gani we unaona ni waZuri zaidi ya Chuga?
Wapare wachoyoUlipokwenda Arusha nadhani ulipitia Same. Vipi ? Hukuona dada zangu wa kipare wanavyozuusha migongo wakitembea. Ulitupa neno ukaambiwa NO ? Watoto wako Same achana na wasichana wahuni wa Arusha wanaagiza nyama choma bar mpaka utumbo wa kuchoma na bia.
Nipo Tabora ziara binafsi, hapa Mademu wenyewe wabaya sana hata mapenzi hawajui. Midemu ya kisukuma, kinyamwezi na watusi baadhi ndio wapo huku.
Tabora sample ni kina Shilole
Hakuna mtuuu mmbayaa bro still woteeee tunaubwa na munguuuuSingida unaijua mkuu?
Upareni hasa HedaruUlipokwenda Arusha nadhani ulipitia Same. Vipi ? Hukuona dada zangu wa kipare wanavyozuusha migongo wakitembea. Ulitupa neno ukaambiwa NO ? Watoto wako Same achana na wasichana wahuni wa Arusha wanaagiza nyama choma bar mpaka utumbo wa kuchoma na bia.