Arusha Jiji Serikali yaachia TZS 5.2B kwaajili ya Vijana 4% Walemavu 2% na wanawake 4%

Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima alimfurahisha Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa tshs 1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka,Nakwamantiki hiyo kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,

Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2,Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.

Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni, Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.


Safi Sana
 
Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima alimfurahisha Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa tshs 1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka,Nakwamantiki hiyo kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,

Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2,Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.

Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni, Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.


Nzuri sana hii,
 
===
Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,
===
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima alimfurahisha sana Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa TZS1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka.

===
Nakwamantiki hiyo kama robo ya mwaka ni TZS 1.37BL kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa Jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,
===
Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,
===
Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2

===
Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.
===
Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni,

===
Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

Kazi iendelee
 
===
Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,
===
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima alimfurahisha sana Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa TZS1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka.

===
Nakwamantiki hiyo kama robo ya mwaka ni TZS 1.37BL kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa Jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,
===
Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,
===
Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2

===
Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.
===
Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni,

===
Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

Mapingwa
 
Nyie zisikieni tu hizo fedha, maafisa maendeleo, wakurugenzi na madiwani watu wa hovyo kabisa hasa hasa maafisa maendeleo mimi ni muathirika.

Kwanza kabisa hizo fedha mwanzo wake ilikua maalumu kwajiri ya wanawake ili wawakamate kiurahisi kujiunga na sisiem ndo maana asilimia kubwa wanapewa wanawake.

Pili ili mpewe huo mkopo lazima muwe na kadi za sisiem, kinyume na hapo mtasubiri sana.

Tatu rushwa, amini nawaambieni asilimia kumi hadi ishirini lazima mlimwe kwanza ndio mtapata hizo fedha sasa unasemaje hizo fedha hazina riba? Na sisi vijana ndio tunafanyiwa sana hizi figisu ili tushindwe kuzichukua na mkibahatika kuzichukua hamuwezi kuzirejesha mfano mkipewa million kumi tayari mlishatoa million moja na nusu sasa kama mliazima ina maana katika hiyo kumi tayari mrudishe moja na nusu ya watu mnabaki na nane na nusu. Kwahiyo wao ndo wanatutengenezea mazingira magumu ili ionekane vijana hatuaminiki.

Na halmashauri zimejaa figisu kwa ufupi zilongwa mbali zitendwa mbali
 
===
Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,
===
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima alimfurahisha sana Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa TZS1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka.

===
Nakwamantiki hiyo kama robo ya mwaka ni TZS 1.37BL kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa Jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,
===
Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,
===
Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2

===
Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.
===
Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni,

===
Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

Awamu ya Sita kila kitu bambam
 
Nyie zisikieni tu hizo fedha, maafisa maendeleo, wakurugenzi na madiwani watu wa hovyo kabisa hasa hasa maafisa maendeleo mimi ni muathirika.

Kwanza kabisa hizo fedha mwanzo wake ilikua maalumu kwajiri ya wanawake ili wawakamate kiurahisi kujiunga na sisiem ndo maana asilimia kubwa wanapewa wanawake.

Pili ili mpewe huo mkopo lazima muwe na kadi za sisiem, kinyume na hapo mtasubiri sana.

Tatu rushwa, amini nawaambieni asilimia kumi hadi ishirini lazima mlimwe kwanza ndio mtapata hizo fedha sasa unasemaje hizo fedha hazina riba? Na sisi vijana ndio tunafanyiwa sana hizi figisu ili tushindwe kuzichukua na mkibahatika kuzichukua hamuwezi kuzirejesha mfano mkipewa million kumi tayari mlishatoa million moja na nusu sasa kama mliazima ina maana katika hiyo kumi tayari mrudishe moja na nusu ya watu mnabaki na nane na nusu. Kwahiyo wao ndo wanatutengenezea mazingira magumu ili ionekane vijana hatuaminiki.

Na halmashauri zimejaa figisu kwa ufupi zilongwa mbali zitendwa mbali
Mkuu unaoushahidi wa hili?
 
Mkuu unaoushahidi wa hili?
Nimesema mimi ni muathirika ilifika hatua tulikosana kabisa na wakuu wa idara nikaamua kuachana nao maana mimi huwa sipendi ujinga na mambo ya meusi, kama 1+1=2 basi na iwe hivyo lakini usije ukanambia 1+1=11 halafu utegemee nitakufumbia macho.
 
Hapa tunazungumzia halmashauri zetu sio benki, unanipata? Na kama umewahi kwenda kukopa lazima narudia tena lazima ulikutana na kati ya hayo niliyoyaandika kwenye huu uzi.
Nikweli urasimu upo ila pesa inatolewa kwa sasa, Nenda kajaribu tena
 
Nikweli urasimu upo ila pesa inatolewa kwa sasa, Nenda kajaribu tena
Mkuu soma kwa umakini post namba 69.utanielewa.

Sijasema pesa hazitolewi kabisa no ila uwe tayari kukubaliana na masharti ya hovyo wanayowekwa ambayo ni kinyume kabisa na utaratibu au mwongozo wa serikali.
 
Naona mkurugenzi wa jiji Arusha anajipigia promo mwenyewe! Ripoti ya CAG ndio itakuwa kipimo chake cha utendaji kazi! RC Mongela alionyesha wasiwasi mkubwa gharama ya ujenzi wa vizimba vya wamachinga jijini Arusha (value for money).
 
Nyie zisikieni tu hizo fedha, maafisa maendeleo, wakurugenzi na madiwani watu wa hovyo kabisa hasa hasa maafisa maendeleo mimi ni muathirika.

Kwanza kabisa hizo fedha mwanzo wake ilikua maalumu kwajiri ya wanawake ili wawakamate kiurahisi kujiunga na sisiem ndo maana asilimia kubwa wanapewa wanawake.

Pili ili mpewe huo mkopo lazima muwe na kadi za sisiem, kinyume na hapo mtasubiri sana.

Tatu rushwa, amini nawaambieni asilimia kumi hadi ishirini lazima mlimwe kwanza ndio mtapata hizo fedha sasa unasemaje hizo fedha hazina riba? Na sisi vijana ndio tunafanyiwa sana hizi figisu ili tushindwe kuzichukua na mkibahatika kuzichukua hamuwezi kuzirejesha mfano mkipewa million kumi tayari mlishatoa million moja na nusu sasa kama mliazima ina maana katika hiyo kumi tayari mrudishe moja na nusu ya watu mnabaki na nane na nusu. Kwahiyo wao ndo wanatutengenezea mazingira magumu ili ionekane vijana hatuaminiki.

Na halmashauri zimejaa figisu kwa ufupi zilongwa mbali zitendwa mbali
umeandika kwa hisia sana
 
Back
Top Bottom