Ukisikia jinsi Arusha inatangazwa na kusifiwa utasema yes.. ni sehemu baabu kubwa sana... kila atakayesimama atasema lake..wapo waliothubutu kuiita Geneva of Africa... ni waongo..
1. Arusha ni chafu kupita maelezo
2. hakuna barabara
3. Ni sehemu pekee umeme unakatika masaa 21 (like yesterday)
Najiuliza hawa wanaosimama na kuisifia Arusha..haya hawayajui... au..
1. Arusha ni chafu kupita maelezo
2. hakuna barabara
3. Ni sehemu pekee umeme unakatika masaa 21 (like yesterday)
Najiuliza hawa wanaosimama na kuisifia Arusha..haya hawayajui... au..