Arusha imekuzwa kuliko ilivyo!! ( Overrated )

Arusha imekuzwa kuliko ilivyo!! ( Overrated )

Arusha hela ngumu kupatikana halafu bidhaa zipo juu mno nakumbuka mwaka jana nilienda kwenye msiba nilipofika nikaona kutembea tembea mtaani na raba muda wote sijazoe ikabidi nimwambie mwenyeji anipeleke sehemu nikanunue sandals akinipeleka kwenye soko flan hivi local aisee kuuliza bei naambiwa 45k wakati quality ileile hapa mjini dar unaipata kwa 15k hahaha hela nilikuwa nayo lakini ikabidi nighairishe zoezi moyoni nikasema kwa hizo bei mtawakamata haohao wa arusha
Hizi tafiti zenu mnazozifanya ndani ya siku mbili then mnakuja huku kutoa conclusion jinsi arusha ilivyo nawashangaa sana...!
 
Hizi tafiti zenu mnazozifanya ndani ya siku mbili then mnakuja huku kutoa conclusion jinsi arusha ilivyo nawashangaa sana...!
Haihitaji utafiti kujua gharama ya vitu Arusha ipo juu kuliko Dar.... Bro vp tena? Labda bange tu ya pale Meru Ngara na ile majani mnayobugia kuchezesha mdomo muda wote ndo ina unafuu
 
Jombaaa ulipotezwa ati, Bugaluu ulipacheki au vepe, uzuri mwingine ambao hujautaja Ni kupatikana kwa miraaa katk grosari zote, Yan huangaiki chaliii
Mimi ni mtu wa Arusha tena ni Muarusha kwa wanaojua hilo kabila ila natokea Namanga..

Wazazi walihamisha makazi wakati nipo chalii sana hvyo nikawa sipajui vizuri kwetu,Kwakuwa nimekua sana Moro nikawa najiita Mmoro,sasa kutokana na kusifiwa sana Arusha ikabidi niende huko homland,daa hizo sifa na kulivyo are too different,Arusha kila kitu shida,maisha magumuu saaaana,hakuna changanyikeni,ila ni watu wakujinasibu tuu..Mbeya ipo vizuri zaidi ya A.town..

NOTE:-Kuna sehemu expensive na standard za ukweli sana,ukiwa na maisha yakawaida huwezi kuzijua,kuna Hotel zakibabe ila zimejificha.
 
Haihitaji utafiti kujua gharama ya vitu Arusha ipo juu kuliko Dar.... Bro vp tena? Labda bange tu ya pale Meru Ngara na ile majani mnayobugia kuchezesha mdomo muda wote ndo ina unafuu
Suala la bidhaa kwa dar kuwa rahisi hilo lipo wazi na si kwa arusha pekee bali ni kwa nchi nzima...ila jamaa anavodai pesa ni ngumu kupatikana arusha wakati ameenda kwenye msiba tu hapo ndio sielewi mm naishi arusha na naona pesa inapatikan kirahisi km utaamua kuitafuta.
 
Tatizo mtoa mada ulijenga taswira yako kichwani!!
Ulidhani kwamba Arusha panaizidi Dar kwa ukubwa wa square metre na wingi wa watu,Maghorofa,magari makubwa makubwa,sasa ulikuta mambo tofauti na ulivyotarajia!

Kuhusu swala la gharama za vitu na maisha kiuchumi kwa Arusha,ni wewe mwenyewe tu utachagua uishi maisha gani!ukitaka maisha ya juu sana Arusha utayapata,ukitaka maisha ya kati yapo,na maisha ya chini kabisa utayapata...Soko linalouzwa Raba laki tatu 300000 lipo,na Raba hizohizo ukienda Samunge au NMC utazipata kwa elfu kumi na tano 15000!!ni chaguo lako unataka kwenda kununua wapi!!

Nimebahatika kutembea na kuishi kwa mikoa karibu yote Tanzania,sijafika Rukwa tu na Ruvuma,Ila kwa Arusha nimetokea kupaelewa sana!maisha ya Arusha ni marahisi saana!

Ila kama umezoea maisha ya Dar ya kiswahili ya utapelitapeli na kuomba watu hela kijiweni kwa Arusha utasanda!!Machalii ya Arusha hayatoagi Pesa hovyo,wabahili mbaya

Somo la huruma watu wa Arusha walipata Ziro!
 
Mimi ni mtu wa Arusha tena ni Muarusha kwa wanaojua hilo kabila ila natokea Namanga..

Wazazi walihamisha makazi wakati nipo chalii sana hvyo nikawa sipajui vizuri kwetu,Kwakuwa nimekua sana Moro nikawa najiita Mmoro,sasa kutokana na kusifiwa sana Arusha ikabidi niende huko homland,daa hizo sifa na kulivyo are too different,Arusha kila kitu shida,maisha magumuu saaaana,hakuna changanyikeni,ila ni watu wakujinasibu tuu..Mbeya ipo vizuri zaidi ya A.town..

NOTE:-Kuna sehemu expensive na standard za ukweli sana,ukiwa na maisha yakawaida huwezi kuzijua,kuna Hotel zakibabe ila zimejificha.
Maneno ya kuhadithiwa utayajua tu
 
huo ni ukweli arusha ina kuzwa sana lakini ukifika ndio utaamini pale mjini unapazunguka kwa baiskel na utawashangaa wanao panda magari.
 
Mimi ni mtu wa Arusha tena ni Muarusha kwa wanaojua hilo kabila ila natokea Namanga..

Wazazi walihamisha makazi wakati nipo chalii sana hvyo nikawa sipajui vizuri kwetu,Kwakuwa nimekua sana Moro nikawa najiita Mmoro,sasa kutokana na kusifiwa sana Arusha ikabidi niende huko homland,daa hizo sifa na kulivyo are too different,Arusha kila kitu shida,maisha magumuu saaaana,hakuna changanyikeni,ila ni watu wakujinasibu tuu..Mbeya ipo vizuri zaidi ya A.town..

NOTE:-Kuna sehemu expensive na standard za ukweli sana,ukiwa na maisha yakawaida huwezi kuzijua,kuna Hotel zakibabe ila zimejificha.
Arusha kuna sehemu zinaitwa Kijenge Juu, Unga Limited, na Sanawari karibu na Tangi la Maji hayo maeneo ukifika utastaajabu kama kweli uko Arusha. Kuna jamaa wametulia wanagonga pombe inaitwa DADII na nywele zimebadilika rangi. Anayoongea mtoa mada ni kweli kabisa kama iwapo Arusha ingepangiliwa vizuri ingelikuwa ni tishio kwa miji ya Afrika lakini kwa jinsi ilivyo mji hauvutii.
 
Arusha kuna sehemu zinaitwa Kijenge Juu, Unga Limited, na Sanawari karibu na Tangi la Maji hayo maeneo ukifika utastaajabu kama kweli uko Arusha. Kuna jamaa wametulia wanagonga pombe inaitwa DADII na nywele zimebadilika rangi. Anayoongea mtoa mada ni kweli kabisa kama iwapo Arusha ingepangiliwa vizuri ingelikuwa ni tishio kwa miji ya Afrika lakini kwa jinsi ilivyo mji hauvutii.
Ha haha hahaha eti Dadii...
 
Tatizo mtoa mada ulijenga taswira yako kichwani!!
Ulidhani kwamba Arusha panaizidi Dar kwa ukubwa wa square metre na wingi wa watu,Maghorofa,magari makubwa makubwa
Ulichokiongea ni cha ukwel jamaa ndio alikua anawaza hivyo....sasa nashangaa kuona na watu wa mikoa mingine wanaanza kuleta porojo.
 
Arusha hela ngumu kupatikana halafu bidhaa zipo juu mno nakumbuka mwaka jana nilienda kwenye msiba nilipofika nikaona kutembea tembea mtaani na raba muda wote sijazoe ikabidi nimwambie mwenyeji anipeleke sehemu nikanunue sandals akinipeleka kwenye soko flan hivi local aisee kuuliza bei naambiwa 45k wakati quality ileile hapa mjini dar unaipata kwa 15k hahaha hela nilikuwa nayo lakini ikabidi nighairishe zoezi moyoni nikasema kwa hizo bei mtawakamata haohao wa arusha
Wanauziana bei kubwa si sababu ni washamba? Hawajui kama hivyo vitu sehemu nyingine vinapatikana kwa bei ya kawaida tu.
 
Umekwenda mbugani? Umezungushwa vizuri kuona mji au ulibabatiza
 
Haihitaji utafiti kujua gharama ya vitu Arusha ipo juu kuliko Dar.... Bro vp tena? Labda bange tu ya pale Meru Ngara na ile majani mnayobugia kuchezesha mdomo muda wote ndo ina unafuu
Ah ha ha ha ha ha ha ha ha!
 
KWEZISHO
Kijana upo sahihi kuna wakati nikiwa kwenye mkutano wa wafanyabiashara wa mkoa wa arusha ulioandaliwa na waziri wa fedha pale kwenye ukumbi wa mkuu wa mkoa, RAS alijitutumua kwa kusema (alipokuwa anamkaribisha waziri) "... Mh karibu arusha ambayo ni Geneva ya Africa...".

Binafsi nilicheka ndani ya nafai ila kiukweli tunajidanganya sana, kwani bado sana hata robo kuifikia Geneva..!!
 
Tatizo wewe umeishia stand ..kuna satellite cities Arusha ...ambazo DAR hakuna......inategemea mwenyeji wako
Nakubaliana na INATEGEMEA NA MWENYEJI WAKE AKAWA HAJUI MAENEO PRIME, lakini sikubaliani na Sattelite Cities Kali ambazo Dar Hakuna-Hapo nakataa.
 
Shida jamaa alitaka alinganishe kila kitu kilichopo dar na arusha hapo ndio tatizo lilipo...anakuambia arusha kuna hiace fupi wakati ukiondoa dar nchi nzima huo ndio usafiri wa abiria ndani ya miji na majiji yaliyobaki...anatuambia majengo ya kuhesabu wakati ukiondoa dar ni mwanza pekee ndio unaweza kuipambanisha na arusha...viwanja vya kujirusha vipo vya kutosha na ukiondoa dar nadhani arusha na mwanza ndio panafuata mwisho ukweli utabaki pale pale kuna miji ya kuipondea lakini sio arusha maana ikatokea dar imepigwa Bomu arusha na mwanza ndio patakuwa mjini.
 
Back
Top Bottom