mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,610
- 1,601
Another true silent City in TZ, Mwanza the Rock City
Hata wakenya wanasema mlima kilimanjaro wa kwao. Hapo ni jinsi unavyokua mjanja kwenye advertisement. Big up kwa mleta madaWee ni muongo sana ,unasifia kwenu mpaka unapitiliza na vya wenzenu unafanya vya kwenu hapo namba 4 umeitaja mbuga ya serengeti kwamba ipo Arusha ni uongo, Serengeti haipo Arusha, Serengeti ipo mkoa wa Mara,sema tu watalii wengi hupenda kuanzia safari ya kwenda huko kwa kutokea Arusha.
Pasuka kwa wivu au hasira hahahahahaha.. Kwenu vumbi tupu, ebu check hapo..Mimi ni mtanzania wala sina matatizo ya akili kama ninyi. sehem ya kusifia nitasifia kwa mustakabali wa nchi ya TZ na sehemu ya kuponda nitaponda kama hivi kwa mustakabali wa TZ.
vijana ni wa arusha ni kama punda wa wazungu hapo arusha au kama wasindikizaji wa msafara.
Maisha ya arusha mnayoyasifia ni wazungu na watu wachache wa arusha wanaoishi aina hiyo ya maisha na hizo picha za majengo mnaishia kuzitazama nje.
Amkeni kwenye huo utumwa wa akili kwa kusifia huo ujinga.
Nendeni kule sakina nyumba nyingi wanaishi wakenya labda maeneo ya raskazone, milestone n. k, nendeni njiro nyumba nyingi wanaishi wazungu na makampuni ya kigeni kuanzia pale general tyre nanenane labda kule porini njiro kwa msola hadi kule veta karibu na atomic.
Maeneo ya makazi kwa wanaarusha wengi ni ngaramtoni, sekei, sanawari, matejoo, mianzini, kwa idi, moshono, kijenge juu na chini, chekereni, unga ltd usa, tengeru, maji ya chau n. k hapo ndio mjini.
Nenda huko kijijini kuanzia kisongo, monduli, makuyuni, mto wa mbu, karatu n. k ndio kunatia huruma kabisa.
Sasa nini cha ajabu huko arusha hadi mnakuja hapa JF kuleta utoto wenu.
Elimisheni jamii zenu huko maporini arusha sio kwa kulewa mibanana ya mia mbili mnakuja kujidhalilisha kwa ukanda na ukabila wenu huko kijijini arusha.
Hawa AIM walianza kupambana tangia late 70's.. Kudos to them.. Good thing ni kuanzia Architect, Main Contractor to Quantity Surveyor zote ni kampuni za Arusha, Na wamiliki ni wa Arusha... Simply pesa yote ya huo uwekezaji imebaki Arusha..hii mall haina hata miezi miwili kuwa launched, Arusha grab your popcorn and enjoy your drama.........
![]()
![]()
![]()
Hii ni kwa fasi ya madwene man haa haa see you et higher stage A townArusha Babyy #Hawatuweziiii
![]()
![]()
![]()
![]()
Karibu A City Jiji la matajiri hatunaga longolongo,,,,,,,,,,,,,,,,, estate kwa fasi ya Kisongo hapo sababu kuna duwanzi zinabwatukaga huku Arusha ni Njiro tu,, mtatukoma mwaka huu...
Hoja nilishajenga, ila sasa ni mda wa kuwachapa na makavu tu.
Acheni huo ujinga hii inchi ina mambo mengi ya kujadili sio huo ushamba wenu wa arusha mnataka muulete kwenye jamii yote ya tanzania iliyostaarabika.