Arusha hali si shwari kabisa

Arusha hali si shwari kabisa

manuu

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2009
Posts
4,064
Reaction score
10,745
Najaribu kuunganisha matukio kadha wa kadha ya mauaji ya kupigana ama kujipiga risasi, mauaji ya kuchomana visu yanayoripotiwa kila kukicha Arusha kwangu ilikuwa kama ndoto tu na nilikuwa sipati picha kwa nin haya yanatokea na watu wote ni wa aina moja tu ama uelewa unaofanana Arusha?

Ila jana usiku nimeshuhudia kwa macho yangu vijana wadogo wa kama 19yrs wakichomana visu vya sababu za kijinga sana ilikuwa hivi:

Tulikuwa maeneo ya Sanawari mtaa wa juu kidogo kutoka kwenye traffic light niko na wenyeji wangu kwenye ki-pub flan tumekaa kwa barazan tukipata 1,2 pemben yetu ya hiyo pub kuna mchoma chips ambapo kulikuwa na vijana wengi tu hapo wamekaa kwenye bench...Ghafla tukashangaa wawili kati yao wakirushiana makonde hatukujua sababu ni nin...

Kumbe vijana wale wote wapo na visu ndani ya surual yao wakatokea watu kuwaamua hapo ndo kila mmoja alipo pata fursa ya kuchomoa kisu chake...akabidi wale waliowaamua wakae pemben....Dah sikuamin macho yangu kwamba kwa nin sasa wanataka kutoana uhai...

Dakika kama mbili mmoja aliekuwa na umbo dogo akafanikiwa kumchoma mwnzake kisu cha kwenye bega akamchoma tena mkononi watu wakamkamata yule dogo mwenye kisu...Na yule aliechomwa akapelekwa Hosp.....

Ila kitu nilichojifunza kwa nin hiyo tabia haiishi wale watu waliokuwa wanampeleka yule aliechomwa kisu hosp wakaambiana tusiende kukata PF3 polisi maana polis watakuja mkamata huyu dogo...twenden tukawaonge hosp wamuudumie huyu bila PF3, Na hao walikuwa wapita njia tu lakin wanamlinda mhalifu....

Duh kweli Arusha safar bado ndefu sana.
 
Nimazaliwa arusha na kukulia arusha huo ndio utaratibu toka siku nyingi. Mwanaume eti ni lazima uwe na alama ya ujasiri(kovu Iiwe la kisu jiwe ngumi panga....). Mi yalinishinda makazi yangu nimehamishia mkoa mwingine.
 
Lema kawafundisha ujinga vijana wa arusha. Kawahamasisha uhuni na uvutaji bangi na madhara ndo hayo sasa
 
Najaribu kuunganisha matukio kadha wa kadha ya mauaji ya kupigana ama kujipiga risasi, mauaji ya kuchomana visu yanayoripotiwa kila kukicha Arusha kwangu ilikuwa kama ndoto tu na nilikuwa sipati picha kwa nin haya yanatokea na watu wote ni wa aina moja tu ama uelewa unaofanana Arusha? Ila jana usiku nimeshuhudia kwa macho yangu vijana wadogo wa kama 19yrs wakichomana visu vya sababu za kijinga sana ilikuwa hivi:

Tulikuwa maeneo ya Sanawari mtaa wa juu kidogo kutoka kwenye traffic light niko na wenyeji wangu kwenye ki-pub flan tumekaa kwa barazan tukipata 1,2 pemben yetu ya hiyo pub kuna mchoma chips ambapo kulikuwa na vijana wengi tu hapo wamekaa kwenye bench...Ghafla tukashangaa wawili kati yao wakirushiana makonde hatukujua sababu ni nin...Kumbe vijana wale wote wapo na visu ndani ya surual yao wakatokea watu kuwaamua hapo ndo kila mmoja alipo pata fursa ya kuchomoa kisu chake...akabidi wale waliowaamua wakae pemben....Dah sikuamin macho yangu kwamba kwa nin sasa wanataka kutoana uhai...Dakika kama mbili mmoja aliekuwa na umbo dogo akafanikiwa kumchoma mwnzake kisu cha kwenye bega akamchoma tena mkononi watu wakamkamata yule dogo mwenye kisu...Na yule aliechomwa akapelekwa Hosp.....Ila kitu nilichojifunza kwa nin hiyo tabia haiishi wale watu waliokuwa wanampeleka yule aliechomwa kisu hosp wakaambiana tusiende kukata PF3 polisi maana polis watakuja mkamata huyu dogo...twenden tukawaonge hosp wamuudumie huyu bila PF3, Na hao walikuwa wapita njia tu lakin wanamlinda mhalifu....Duh kweli Arusha safar bado ndefu sana.

Hii ndio arusha a.k.a chugga Vunga.!
 
Najaribu kuunganisha matukio kadha wa kadha ya mauaji ya kupigana ama kujipiga risasi, mauaji ya kuchomana visu yanayoripotiwa kila kukicha Arusha kwangu ilikuwa kama ndoto tu na nilikuwa sipati picha kwa nin haya yanatokea na watu wote ni wa aina moja tu ama uelewa unaofanana Arusha? Ila jana usiku nimeshuhudia kwa macho yangu vijana wadogo wa kama 19yrs wakichomana visu vya sababu za kijinga sana ilikuwa hivi:

Tulikuwa maeneo ya Sanawari mtaa wa juu kidogo kutoka kwenye traffic light niko na wenyeji wangu kwenye ki-pub flan tumekaa kwa barazan tukipata 1,2 pemben yetu ya hiyo pub kuna mchoma chips ambapo kulikuwa na vijana wengi tu hapo wamekaa kwenye bench...Ghafla tukashangaa wawili kati yao wakirushiana makonde hatukujua sababu ni nin...Kumbe vijana wale wote wapo na visu ndani ya surual yao wakatokea watu kuwaamua hapo ndo kila mmoja alipo pata fursa ya kuchomoa kisu chake...akabidi wale waliowaamua wakae pemben....Dah sikuamin macho yangu kwamba kwa nin sasa wanataka kutoana uhai...Dakika kama mbili mmoja aliekuwa na umbo dogo akafanikiwa kumchoma mwnzake kisu cha kwenye bega akamchoma tena mkononi watu wakamkamata yule dogo mwenye kisu...Na yule aliechomwa akapelekwa Hosp.....Ila kitu nilichojifunza kwa nin hiyo tabia haiishi wale watu waliokuwa wanampeleka yule aliechomwa kisu hosp wakaambiana tusiende kukata PF3 polisi maana polis watakuja mkamata huyu dogo...twenden tukawaonge hosp wamuudumie huyu bila PF3, Na hao walikuwa wapita njia tu lakin wanamlinda mhalifu....Duh kweli Arusha safar bado ndefu sana.

CHADEMA hiyo.
 
ipo thread ya OC CID wa arusha, wengne wanamsifia kuwa kaiweza Arusha kwakuwa sasa ni shwari.

uongo na ukweli ujitenga.
 
Chuga ni USA ya Tanzania unyoronyoro hautakiwi kila mtu yupo fiti muda wote! Ukizingua tu inakula kwako chaliiii yangu!
 
Najaribu kuunganisha matukio kadha wa kadha ya mauaji ya kupigana ama kujipiga risasi, mauaji ya kuchomana visu yanayoripotiwa kila kukicha Arusha kwangu ilikuwa kama ndoto tu na nilikuwa sipati picha kwa nin haya yanatokea na watu wote ni wa aina moja tu ama uelewa unaofanana Arusha? Ila jana usiku nimeshuhudia kwa macho yangu vijana wadogo wa kama 19yrs wakichomana visu vya sababu za kijinga sana ilikuwa hivi:

Tulikuwa maeneo ya Sanawari mtaa wa juu kidogo kutoka kwenye traffic light niko na wenyeji wangu kwenye ki-pub flan tumekaa kwa barazan tukipata 1,2 pemben yetu ya hiyo pub kuna mchoma chips ambapo kulikuwa na vijana wengi tu hapo wamekaa kwenye bench...Ghafla tukashangaa wawili kati yao wakirushiana makonde hatukujua sababu ni nin...Kumbe vijana wale wote wapo na visu ndani ya surual yao wakatokea watu kuwaamua hapo ndo kila mmoja alipo pata fursa ya kuchomoa kisu chake...akabidi wale waliowaamua wakae pemben....Dah sikuamin macho yangu kwamba kwa nin sasa wanataka kutoana uhai...Dakika kama mbili mmoja aliekuwa na umbo dogo akafanikiwa kumchoma mwnzake kisu cha kwenye bega akamchoma tena mkononi watu wakamkamata yule dogo mwenye kisu...Na yule aliechomwa akapelekwa Hosp.....Ila kitu nilichojifunza kwa nin hiyo tabia haiishi wale watu waliokuwa wanampeleka yule aliechomwa kisu hosp wakaambiana tusiende kukata PF3 polisi maana polis watakuja mkamata huyu dogo...twenden tukawaonge hosp wamuudumie huyu bila PF3, Na hao walikuwa wapita njia tu lakin wanamlinda mhalifu....Duh kweli Arusha safar bado ndefu sana.

Ahhahah!Katika miji ambayo inatakiwa uwe makini sana ukiishi basi hapa Arusha,watu wako tayari muda wote kwa lolote lile!sio wanawake wala watoto,wanafunzi ndio kabisaa!!
Poleni sana wageni.
 
Sasa mkuu watanzania wote tukiwa waoga na kuanza kukimbia panya na kujifungia ndani, hii nchi si itavamiwa na itachukuliwa na watu wa nje? A cha bana chuga tulinde heshima ya nchi yetu bila kuwa wajasiri hawa jirani zetu wanavokimbizwa na alshabab si wangejaa hapa town. Hakuna dhambi mbaya kama UOGA ilimradi hatuvunji sheria. Mbona polosi wanapiga watu risasi na mabomu bila hatia na hakuna anaewasema kama ni wapuuzi?
 
Nimazaliwa arusha na kukulia arusha huo ndio utaratibu toka siku nyingi. Mwanaume eti ni lazima uwe na alama ya ujasiri(kovu Iiwe la kisu jiwe ngumi panga....). Mi yalinishinda makazi yangu nimehamishia mkoa mwingine.

Arusha kuna jamaa club alipigwa chupa ya shingo watu kibao wanashangilia! bora moshi mjini pametulia hamna shobo
 
Nimazaliwa arusha na kukulia arusha huo ndio utaratibu toka siku nyingi. Mwanaume eti ni lazima uwe na alama ya ujasiri(kovu Iiwe la kisu jiwe ngumi panga....). Mi yalinishinda makazi yangu nimehamishia mkoa mwingine.


Nimecheka sanaa..
 
Nimewahi kusikia Lema akionya vijana kuhusu kunywa pombe Kali na haramu kwa masikio yangu.tens akieleza kua hata kama wangeongoza nnchi kama mtazamo was vijana ndio huo wangeshindwa kutatua matatizo yao.sasa wakuu Lema anaingiaje hapo ?
 
Arushaaa eshimaa tuu ndo inatakiwaa ukijidai mbabe unajua karate utakula kisu ya koo ufie mbali. Ukijidai na kibastolaa utawahiwa na wenye SMG na ukitishia smg utaviziwaa tuu na we upewe kituako hakunaga kuoneana huku kwetuu tuliozoeaa wala hata hatuon shidaa tena sahv afadhali aman inazid kueneaa. Kipindi cha miaka kama mitano au sita nyumaaa ndo ilikuwa balaaaa
 
Back
Top Bottom