sifa kibao lakini arusha bado sana ,sijui kina nani hao wameipa hadhi ya jiji,kila kitu ovyo,miundombinu hakuna,mpangilio mbovu wa makazi,idadi ya watu ndogo,wala sijawai sikia kituo cha tv arusha.
arusha irudishwe kuwa municipal na sio jiji.
unavijua vigezo vya mji kuwa jiji.......hivi dar ilikuwa jiji mwaka gani.....na ilikuwa na wakazi kiasi gani.....hivi ushawahi kufika Jiji la mbeya ndugusifa kibao lakini arusha bado sana ,sijui kina nani hao wameipa hadhi ya jiji,kila kitu ovyo,miundombinu hakuna,mpangilio mbovu wa makazi,idadi ya watu ndogo,wala sijawai sikia kituo cha tv arusha.
arusha irudishwe kuwa municipal na sio jiji.
Mkapa amesema "ACHA WIVU WA KIJINGA" alitamka wakati anafungua mgodi wa Bulyanhulu kuwa tusiwaonee wivu wazungu waliotumia hela nyingi kuja kuwekeza. Na ndio yeye aliye pandisha hadhi ya Arusha kuwa Jiji. Subiri akigombea tena 2015
sifa kibao lakini arusha bado sana ,sijui kina nani hao wameipa hadhi ya jiji,kila kitu ovyo,miundombinu hakuna,mpangilio mbovu wa makazi,idadi ya watu ndogo,wala sijawai sikia kituo cha tv arusha.
Arusha irudishwe kuwa municipal na sio jiji.
Weweeeeeee,chezeya Arachuga weyeee?
Ebu njoo nikupige na kongoro hapa mitaa ya karoleni(PICNIC BAR)Kisha rudi Dar kawaeleze hao waliokutuma,Dar changudoa mpaka wa jero unapata na unakesha nae,hapa Arusha bao moko ni buku 20.
Hali ya hewa safi kama europe.
Viwanja bei ya chini Arusha ni tsh 20m tena ni kisongooooooooo!?
Population kuuuuuuubwa.
Tatizo lenu manaisoma Arusha kwenye katuni,njooni muone mambo,this is Geneva of Africa bhana.
Hongera kwa kufika Arusha,kweli umetumia akili sana,maana bila ya kuanzisha kiji nyuzi kama hiki tusingejua kuwa na wewe umebahatika kukanyaga arusha,hongera tena.
Kwa hiyo wewe ndo mara yako ya kwanza kwenda Arusha kutoka ushago siyo?
Weweeeeeee,chezeya Arachuga weyeee?
Ebu njoo nikupige na kongoro hapa mitaa ya karoleni(PICNIC BAR)Kisha rudi Dar kawaeleze hao waliokutuma,Dar changudoa mpaka wa jero unapata na unakesha nae,hapa Arusha bao moko ni buku 20.
Hali ya hewa safi kama europe.
Viwanja bei ya chini Arusha ni tsh 20m tena ni kisongooooooooo!?
Population kuuuuuuubwa.
Tatizo lenu manaisoma Arusha kwenye katuni,njooni muone mambo,this is Geneva of Africa bhana.
Hamna kitu kule, watu wenyewe mimeno imewaoza, kiswahili kibovu, mji uko ovyo bora hata Tanga.
Arusha tunaongoza kwa wingi mabilioneaHamna kitu kule, watu wenyewe mimeno imewaoza, kiswahili kibovu, mji uko ovyo bora hata Tanga.
absolutely nonsense!