Arusha haina hadhi ya jiji,ifutwe

Arusha haina hadhi ya jiji,ifutwe

Weweeeeeee,chezeya Arachuga weyeee?
Ebu njoo nikupige na kongoro hapa mitaa ya karoleni(PICNIC BAR)Kisha rudi Dar kawaeleze hao waliokutuma,Dar changudoa mpaka wa jero unapata na unakesha nae,hapa Arusha bao moko ni buku 20.
Hali ya hewa safi kama europe.
Viwanja bei ya chini Arusha ni tsh 20m tena ni kisongooooooooo!?
Population kuuuuuuubwa.
Tatizo lenu manaisoma Arusha kwenye katuni,njooni muone mambo,this is Geneva of Africa bhana.

Hapa kwenye msimbazi siyo kweli. Arusha kuna machangudoa wanatoa huduma kwa mali kauli. We ukimwambia unatoka mererani una ukame wa miezi kadhaa ila madini hujapata, atakuhudumia as if umemtolea mahari.
 
haters just hate. Arusha didn't do you any wrong, people of Arusha didn't do you any wrong. you just hate us.
 
Arusha tunaongoza kwa wingi mabilionea

Ni kweli mkuu, huko kwenu mtu akiwa na vijisent vya kubadilisha mboga na zaid akiwanunulia mataputapu kwenye vibaa vyenu uchwara, mnamwita "bilionea", na weng ni wao majambazi.
 
Arusha ni mji mkubwa, ila kiuhalisia hadh ya jiji ni kwa Tanzania, ila jiji hasa hadhi hiyo haijafikiwa Tanga na hata Mbeya. Mwanza ndo kidogo kibongobongo inaweza kufit. Dar ina wilaya ambazo ni manispaa pia za Kinondoni,Ilala na Temeke. Tukichukulia manispaa ya Kinondoni kwa mfano, zinayafunika kila jiji kati ya Arusha, Tanga na hata Mbeya kwa kila kitu kwa maana ya idad ya watu,kodi, ukubwa wa eneo la mji
(urban proper) na miundombinu. Kama miji ya Tanga,Arusha na Mbeya ni majiji basi Ilala, K'ndoni na Temeke zipew hadhi hiyo, la sivyo kuna siasa tu hapo. Inakubalika kuwa ni kweli ukiondoa Dar na Mza, miji mingine mikubwa na yenye uchumi ni Arusha, Tanga na Mbeya na inakuwa kwa kasi ila kuwa jiji per se, bado jamani

(kwa red) JF ikiamua kukuumbua, unaweza ukajikuta unahamia facebook!
 
Ni kweli mkuu, huko kwenu mtu akiwa na vijisent vya kubadilisha mboga na zaid akiwanunulia mataputapu kwenye vibaa vyenu uchwara, mnamwita "bilionea", na weng ni wao majambazi.
Si kweli kwamba tunawatangaza wenyewe, wanaandikwa na magazeti yanayoheshika hapa nchini. Siyo mabillionea wa sehemu nyingine ambao utawasikia kwenye nyimbo za Akudo na Ngwasuma tu.
 
Hapa kwenye msimbazi siyo kweli. Arusha kuna machangudoa wanatoa huduma kwa mali kauli. We ukimwambia unatoka mererani una ukame wa miezi kadhaa ila madini hujapata, atakuhudumia as if umemtolea mahari.


mkopo wa bei nafuu
 
Ni kweli mkuu, huko kwenu mtu akiwa na vijisent vya kubadilisha mboga na zaid akiwanunulia mataputapu kwenye vibaa vyenu uchwara, mnamwita "bilionea", na weng ni wao majambazi.


Naamini hujielewi... uliza, ufahamu ukweli, then utaongea kwa hoja sio hisia
 
Sifa kibao lakini Arusha bado sana ,sijui kina nani hao wameipa hadhi ya jiji,kila kitu ovyo,miundombinu hakuna,mpangilio mbovu wa makazi,idadi ya watu ndogo,wala sijawai sikia kituo cha tv Arusha.

Arusha irudishwe kuwa municipal na sio jiji.

We unaumwa akili.....jiulize kwanini settlers wengi walikuwa wanaishi arusha na siyo dar? hivi ni mji gani unaweza kwenda kwenye gym, supermarket, hotel zenye CLASS na QUALITY kama arusha? ni mji gani tanzania hii wakazi wake wako CIVILIZED kama arusha? we unadhani jiji ni mpaka kuwe na watu wenye vidomo domo kama dar? jiji ni makele na harufu mbaya kila kona? mimi nimekulia arusha na nina uhakika i am very modern mara100 yako!!! mimi ninaishi very comfortable bab!! SISI TUNAJUA MAGARI MAZURI, TUNAJUA VYAKULA VIZURI , TUNAISHI MAISHA VERY MODERN KULIKO DAR!!NI FACT..AVERAGE KIJANA AU MTU MZIMA WA ARUSHA CITY PROPER, ANA CLASS SAAANA,,uwez ukamfananisha na mtu average wa dar..ni kweli Arusha ni mji mdogo, lakini unajitosheleza kwa every angle...i dont need to come to dar to feel modern, dar watu kazi kuigiza "umarekani"..hata hampendezi...bogus dar people bana...sasa we huko dar kuna nini labda cha kunivutia? hotels mbovu , majengo cheap cheap..yani kila kitu cheap cheap feki tuuu...tuulize sisi tulio karibu na Nairobi bana kuhusu jiji la east africa..eti dar...f*ck that bullshit...njoo arusha nikuonyeshe class...mshamba mkubwa wa daslam...mji mdo ila tunaingurumisha nchi..hamuoni siyo kawaida>>hadi kimawazo watu wameendelea..watu wakwanza kukataa kutawaliwa na bogus chama..watu wakwanza kuwa na mawazo ya kimapinduzi..asee ujue unantia hasira yani wewe lofa wewe....IACHE ARUSHA WACHA WIVU.
 
Sifa kibao lakini Arusha bado sana ,sijui kina nani hao wameipa hadhi ya jiji,kila kitu ovyo,miundombinu hakuna,mpangilio mbovu wa makazi,idadi ya watu ndogo,wala sijawai sikia kituo cha tv Arusha.

Arusha irudishwe kuwa municipal na sio jiji.
Weee..koma kabisa...kama ujawai kuskia wala kuona ni wewe..vituo vyenyewe dar wamejaa watoto wa jiji la arusha.to name a few..deo rweyunga, abubakar sadiq, millard ayo, vanessa mdee, adam mchomvu, b12, sam misago, dj nani..sijui..yani list ni refu mnooo...ARUSHA IS SWAG, DAR IS WACK.
 
najua wa arusha watapinga ila kweli arusha, mbeya na Tanga hazikuwa na hadhi ya kuitwa jiji.hata Mwanza haijakamilisha sifa hizo ila angalau yenyewe. arusha ilipewa hadhi ya jiji na mkapa likini iliondolewa hadhi hiyo mpk hapo mwaka jana ndo imeanza kuitwa jiji.
 
naona wameangalia kipato kinachoingia kwenye taifa,maana Arusha kuna viwanda,kuna madini,kuna hotels,kuna airport japo ndogo na pia kuna tourism.Nahisi ndivyo vigezo kwani hata Tanga imepewa sababu ya pato linaloingizia taifa,usishangae Arusha ikaingiza pato kubwa serikalini zaidi hata ya mkoa wowote Tanzania hii,huku kila kitu kipo ufugaji,kilimo,utalii na biashara
 
Hapa kwenye msimbazi siyo kweli. Arusha kuna machangudoa wanatoa huduma kwa mali kauli. We ukimwambia unatoka mererani una ukame wa miezi kadhaa ila madini hujapata, atakuhudumia as if umemtolea mahari.
Hapo kwenye msimbazi,hao lazima watakua ni wazaramo wa Dar,maana demu wa Kiarusha hakubali sound mkuu.
Huku Arusha mademu cheaper ni wazaramo tu,na angalau wanapata chochote kutokana 'vishanga'wanavyovaa.
Chezeya Arachuga weye.
Njo Arachuga upate filigisi ya kusaga na ubwabwa bhana.
Arusha oyeeeeeeeeeeee!
 
Back
Top Bottom