Weweeeeeee,chezeya Arachuga weyeee?
Ebu njoo nikupige na kongoro hapa mitaa ya karoleni(PICNIC BAR)Kisha rudi Dar kawaeleze hao waliokutuma,Dar changudoa mpaka wa jero unapata na unakesha nae,hapa Arusha bao moko ni buku 20.
Hali ya hewa safi kama europe.
Viwanja bei ya chini Arusha ni tsh 20m tena ni kisongooooooooo!?
Population kuuuuuuubwa.
Tatizo lenu manaisoma Arusha kwenye katuni,njooni muone mambo,this is Geneva of Africa bhana.
Hapa kwenye msimbazi siyo kweli. Arusha kuna machangudoa wanatoa huduma kwa mali kauli. We ukimwambia unatoka mererani una ukame wa miezi kadhaa ila madini hujapata, atakuhudumia as if umemtolea mahari.