KALINZI NYUMBANI
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 1,660
- 1,168
Ndio mana watu wanasema tcu ni walanguzi tu!kama kila mwanafunzi analipa elfu ishirini kwa mwaka.Ili tume za taaluma ziundwe ili kufanya mambo kama haya na posho,usafiri kila kitu wanapewa na michango ya wanafunzi na bado hawafanyi,si wakudharauliwa hawa?.hawavitembelei wala kuvikagua watajuaje mapungufu