Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Kwani wao wanatuma watu kufanya jinai, si wanatimiza majukumu yao tu.Hahahahahahaha. Hahahahahaha. One man down. Mwaka unapokea mahabusu wengi sana wa mauaji. Tena red handed. Sasa sijui tuseme jeshi la polisi ndio linataka tulipongeze au tusemaje wajameni
Comment yako ingekuwa na maana zaidi laiti kama usingechekaHahahahahahaha. Hahahahahaha. One man down. Mwaka unapokea mahabusu wengi sana wa mauaji. Tena red handed. Sasa sijui tuseme jeshi la polisi ndio linataka tulipongeze au tusemaje wajameni
Huenda alitaka apate mishahara miwili, walinzi wanalipwa mishahara kiduchu.Raymond Mollel amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mlinzi mwenzake kwa kumchinja na kuondoka na kichwa chake bila kuiba kitu eneo la tukio.
Mtuhumiwa huyo amekiri kuhusika na mauaji na kuonesha alipokificha kichwa cha mwenzake. Raymond na marehemu walikuwa walinzi wa Meya wa Arusha, Maxmillian Iranghe.
Pia, soma: Arusha: Mlinzi auawa kwa kuchinjwa, wauaji waondoka na kichwa
Millard Ayo, Video