LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 253
Sitta vipi bwana! Hukitakii mema chama kilichokuajiri!
Acha kutunga maneno na kuyaleta home of great thinkers......huna source wala nn............unaleta unafki hapa sio lazima utume thread kama huna idea soma za wengine usiichafue jf!!!!
na wakichakachua itakula kwao wamuulize mzee wa kiraracha pale jamaa wakimkosa mtu panga ni kukata migomba na miti kwa kwenda kia. Mi naona mchi hii bila kutokea machafuko hatuta heshimia. Maana ili ukombozi wa kweli upatikane ni lazima mmoja afe kwaajili ya wengine hii ni formula hata nchi zilizopata mapinduzi zimepitia huko hata kama nyie ni wasomi wazuri wa vitabu vitakatifu mtajua nazungumzia nini. Na hii ndio dawa pekee ya kuleta heshima katika taifa hili . Na kama hutaki we mwoga
uo sio utabiri,mtu akisema kweli siyo utabiri........................
Mkuu Ngongo, utabiri wa kweli ni number tatu tuu, kungine kote umenoa!.[1] Ngongo atabiri ushindi wa CDM.
[2] Ngongo atabiri mvua za masika zitanyesha mwezi huu.
[3] Ngongo atabiri Kenya watajenga bandari kubwa Lamu.
[4] Ngongo atabiri Lowassa ataongoza kampeni za CCM Arumeru.
democratic, kama unadhani huo ndio ukweli, umenoa!. Ila pia nimegundua ni wanabodi wachache sana huwa wanaukubali ukweli halisi!, wengi zaidi huogopa ukweli halisi na badala yake kung'ang'ania ukweli wa kujifariji nafsi zao kwa kujipa matumaini ya uwongo na mwisho wa siku huishia kulia lia tuu!.
Baada ya kupitishwa sioi, uchaguzi arumeru ndio umemalizika!. Kinachoendelea sasa ni kwa nec kukamilisha tuu taratibu kukidhi matakwa ya kidemokrasia kusubiria kumtangaza rasmi!.
Wenye akili wataisoma hii post na kujinyamazia kusubiria april 2!. Ving'ang'anizi wa maubishi mtaanza kubisha na kuendelea kujifariji kuwa mtu yule yule toka chama kile kile aliyeshindwa na mahututi kitandani, sasa anaweza kushindana na mwana mfalme wa mtu yule yule aliyewashinda mwanzo na akashinda!.
Wengi wanategemea zaidi kura za chuki za wana ccm dhidi ya siasa za uchifu, usultani na ufalme za ccm kwa mtoto kumrithi baba yake bila kutambua asili ya wameru ni ufalme wa koo fulani fulani!. Jerry alikuwa ni mfalme wao na sioi ndiye mwana mfalume!.
Kwa wapenzi wa demokrasia ya kweli mtanisamehe sana kwa kuwadondolea ukweli mchungu!. Ili kuupata ukombozi wa kweli, lazima tukubali kukimeza "the bitter pill"- sioi ndiye mbunge mteule wa arumeru akisubiri kuapishwa!.
Pasco (wa jf).
We ndo kilaza namba moja so ukw marekani unakuwa bubu? Tumepata hd picha za baba mwanaasha na 50 cent ndo ijekw maneno?sidhani kama taarifa hizi ni za kweli na zinatoka kwa Sitta mwenyewe kwasababu ninachojua Mzee Sitta yupo Marekani siku ya nne sasa na taarifa hizo amezitoa kwa nani? kwa waandishi wa habari au kwa msemaji wake. otherwise this is misconception
ndoto nzuuuuuuri,lakini ya mchana
Mungu akubariki sana.