masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
Mkuu wacha watu wajisemee maana hawamfahamu Arthur Mwakapugi.Mimi ni mwanafamilia Mkuu alikua mjomba wangu kabisa
Alikuwa mtu mwema, mchapakazi, mwadilifu na licha ya cheo chake hakuwa na majivuno.
Kwamba alikuwepo wakati wa Richmond ni accident in history, being at the wrong place wrong time, kati kati ya ma mbwa mwitu na ma mbweha.
Mimi nilifahamiana naye personally na nikiwa mtumishi serikalini alinipeleka Singapore kati ya watumishi wengine, na wala sikujua kuwa ni yeye alitayarisha safari ile hadi tuliporudi, naye aliniambia hivyo several months later.
Maana yake ni kwamba hakuwa na tamaa na kutaka vizawadi zawadi kwa wema aliotenda, kama mtu ni mwaminifu na hana tamaa kwa vidogo je atakosa uaminifu kwa makubwa?
Wale wamsemao vibaya bila kumjua wanajilaani wenyewe kwa midomo na mawazo yao.
RIP Arthur na Mungu akupumzishe salama.