Msiba upo mikocheni karibu na ifakara health centrr
Ni matumain yangu wanaJF watasogea kuja kukupa pole maana unatoa mchango mkubwa humu maana kwa mambo kama haya watanzania bila kujali itikadi zetu huwa wamoja
Msiba upo mikocheni karibu na ifakara health centrr
Ni matumain yangu wanaFJ watasogea kuja kukupa pole maana unatoa mchango mkubwa humu maana kwa mambo kama haya watanzania bila kujali itikadi zetu huwa wamoja
Hongereni nyie msio na miili ya kuharibika
hawa ni member wa jamii forumWanaFJ , ndo nini mkuu!
hawa ni memeber of jamii forum
Na hiyo memeber ndo nini tena
Unakosea sana mkuu... Sio culture yetu kudhalilisha marehemu
Je maiti yake ipo hapa bongo au yale yale ya gavana wetu wa BOT.
Mkuu tupo kwenye tanzia hayo yanatoka wapi?
Mkuu tupo kwenye tanzia hayo yanatoka wapi?
Wewe huna adabu kabisa.
Pole mkuu lusungo
Magamba yanapukutika......poleni Wafiwa
au ni ile principle ya 'go around 'turn aroundMaradhi tu ya kawaida.
Hongereni nyie msio na miili ya kuharibika