Unakosea sana mkuu... Sio culture yetu kudhalilisha marehemu
Ni kweli ndugu yangu Watanzania hatuko hivi.
Unakosea sana mkuu... Sio culture yetu kudhalilisha marehemu
wewe ni mnafiki, mzandiki na muongo mkubwa! Tena usiniharibie sabato yangu Mpwa
Maradhi tu ya kawaida.
Mimi ni mwanafamilia Mkuu alikua mjomba wangu kabisa
Maradhi tu ya kawaida.
alitoa siri nini.. Pole zao wote waliokuwa wanamtegemeo..Wanajukwaa aliyekuwa katibu Mkuu nishati na madini ndugu Arthur Mwakapugi amefariki dunia.
Mungu ailaze roho yake pema tunamshukuru kwa upendo na kujitolea kwake kwa taifa hili...
R.I.P Mwakapugi
Magamba yanapukutika......poleni Wafiwa