Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,661
- 6,579
Stick to your team, you talk like you know arsenal ins & out, mijadala ya kitoto hiyo hatupo hapa kushindanisha timu na wewe, You won 3-2 inatosha.Hehehehe Man Utd imekuwa ikimfunga Arsenal miaka yote bila kujalisha ipo vzr au vby, wewe shikilia msimamo wako kwamba kocha hafai lkn usimkosoe kocha kisa kafungwa na Man Utd team iliyowafunga Villarreal na Atalanta ambazo ni kubwa kuliko Arsenal.
Sent using Jamii Forums mobile app