Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna moments za kuhitaji point moja au crucial win kisha wachezaji au kocha wanafanya upuuzi.

Boko la Xhaka na red zake. Red ya Pepe. Miss za Auba, Team selection na defensive mentality.

Leo kuna uwezekano wa kurudi nafasi ya 7 kisha tukaanza na presha ya kukimbizana kurudi nafasi ya 5.
Coach kashindwa kazi yake
 
Kuna moments za kuhitaji point moja au crucial win kisha wachezaji au kocha wanafanya upuuzi.

Boko la Xhaka na red zake. Red ya Pepe. Miss za Auba, Team selection na defensive mentality.

Leo kuna uwezekano wa kurudi nafasi ya 7 kisha tukaanza na presha ya kukimbizana kurudi nafasi ya 5.
For example hapa unazunguka zunguka nini?hapa it means coach kashindwa duties zake ndio maana unalalama kwa coach mwenye mentality za ushindi uzembe kama huu huwezi kuuona unaona aibu kumtaja Arteta but the truth ni kuwa yeye ndiye msababishaji from kugombania top 4 last week mpaka namba 7 today na tomorrow anything can happen
 
For example hapa unazunguka zunguka nini?hapa it means coach kashindwa duties zake ndio maana unalalama kwa coach mwenye mentality za ushindi uzembe kama huu huwezi kuuona unaona aibu kumtaja Arteta but the truth ni kuwa yeye ndiye msababishaji from kugombania top 4 last week mpaka namba 7 today na tomorrow anything can happen
Ushawahi manage team yoyote? Hata kwenye game ya Fifa career mode?
 
For example hapa unazunguka zunguka nini?hapa it means coach kashindwa duties zake ndio maana unalalama kwa coach mwenye mentality za ushindi uzembe kama huu huwezi kuuona unaona aibu kumtaja Arteta but the truth ni kuwa yeye ndiye msababishaji from kugombania top 4 last week mpaka namba 7 today na tomorrow anything can happen
Tommorow pia mnagongwa kama kawaida, hawa wahuni wa humu wote watakubaliana na wewe mkuu, ila nawe wacha kumsema sema kocha tu huku unasahau kwamba Arsenal nzima ni mbovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kesho nawaambia hamtoboi kwa hawa vijana, wanawazidi kila kitu, mmejitahidi sn 3-1, na kama kesho hamjafungwa najipiga ban ya mwezi mzima.
Screenshot_20211205-222049.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho Ni amfifiro tu .hivi mnawajuwa Everton alafu benitez kakaliwa kikao kwaiyo kesho anabamiza mtu safi
 
Back
Top Bottom