Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mechi 2 zijazo ni ngumu sana. Tottenham Spurs and Man Utd. Matokeo ya leo yatawapa morali wachezaji kwa mechi ya next week end vs Spurs.
 
17fa94efcb61639bf6104c499d9cf12f.jpg

Hii makitu inapatikana Arsenal tu,zimepigwa pasi 22 usiniulize wapinzani walikua wapi.
Hahahaha na wao walikuwa wanashangilia na kupiga makofii
 
Zote hizi tunastahili kushinda kama tutakuwa makini na kucheza kwa ari, kasi na nguvu kama tulivyocheza leo hasa kipindi cha pili baada ya kuingia Giroud.

Mechi 2 zijazo ni ngumu sana. Tottenham Spurs and Man Utd. Matokeo ya leo yatawapa morali wachezaji kwa mechi ya next week end vs Spurs.
 
50c1e053a2f633ebcf5fa9b5f511ef2e.jpg

Tutegemee makubwa toka kwake
Huyu jamaa anajitambua. Kapata bahati mbaya kama ile ya HENRY, kucheza soka zama zenye wakali wengi.

Wakati HENRY anacheza kulikuwa na DINHO, BECKHAM, DE LIMA, ZIZZOU na hii ilichangia kuwa anaishia 3 bora ya Mchezaji bora wa dunia.

Namuona Sanchez nae anapita mkondo ule ule wa T14. Dunia imejaza wakali kibao, sijui atapenyea wapi!
 
Nikiwa kama mshabiki wa Arsenal wasiwasi wangu sio ushindi tu..shida ni ushindi endelevu.. Kuna mechi za muhimu sana huwa tunapoteana na kupigwa kizembe sana.. Kama timu ikiweza kuwa makini na kutopoteza mechi za kijinga kama ile iliyopita tutafika mbali.. Na saiz walau timu inaonekana sasa
 
Nikiwa kama mshabiki wa Arsenal wasiwasi wangu sio ushindi tu..shida ni ushindi endelevu.. Kuna mechi za muhimu sana huwa tunapoteana na kupigwa kizembe sana.. Kama timu ikiweza kuwa makini na kutopoteza mechi za kijinga kama ile iliyopita tutafika mbali.. Na saiz walau timu inaonekana sasa
Timu inafanya vizuri unaanza kuwa na mtazamo hasi nayo.
 
Mawazo hasi yapi sasa.. Huo ndo uhalisia.. Bado tuna safari ndefu mbele mzee..saiz inabidi kupigana kufa na kupona kuhakikisha hatupotezi point kwenye mechi za kijinga..kila mechi inabidi timu ihakikishe inaashinda.. Sio siku unakutana na kitimu gani sjui huko na tuna kila dalili ya kushinda afu tunatoa droo au kupigwa.. Thats what I mean..
 
Mawazo hasi yapi sasa.. Huo ndo uhalisia.. Bado tuna safari ndefu mbele mzee..saiz inabidi kupigana kufa na kupona kuhakikisha hatupotezi point kwenye mechi za kijinga..kila mechi inabidi timu ihakikishe inaashinda.. Sio siku unakutana na kitimu gani sjui huko na tuna kila dalili ya kushinda afu tunatoa droo au kupigwa.. Thats what I mean..
Nakuunga mkono mkuu, game kama dhidi ya middlesbrough haikuwa ya draw, tulistahili point 3, mwaka huu arsenal ana kikosi kipana Lakin baada ya draw ya middlesbrough niliona matatizo yale yale yanajirudia ya misimu iliyopita, tungekuwa tunaongoza ligi now, msimu huu tupo vizuri
 
Nakuunga mkono mkuu, game kama dhidi ya middlesbrough haikuwa ya draw, tulistahili point 3, mwaka huu arsenal ana kikosi kipana Lakin baada ya draw ya middlesbrough niliona matatizo yale yale yanajirudia ya misimu iliyopita, tungekuwa tunaongoza ligi now, msimu huu tupo vizuri
Na hiki ndo nnachomaanisha...unajua sawa tunasema mechi zote ni ngumu ila kuna zile mechi ambazo unaingia uwanjani ukitegemea ni ushindi tu sababu timu unayokutana nayo unakuta haipo level yako...timu kama kina middlesbrough, kina Burnley huko na zinginezo...hizi mechi ni za kushinda tu na sio draw wala kupigwa maana siku ukija kukutana na mechi zenye tension kubwa kama kina mancity, liver au kina Tottenham lolote linaweza tokea.. So njia pekee hapa ni kuhakikisha hivi vitimu vidogo hivi hatupotezi point kabisa.. Na hapo ndo Arsenal ugonjwa wetu ulipo.. Tunaweza tukatoka kumpiga mtu goli nyingi na displya ya maana afu tunakuja kutana na vitoto gani sjui huko vinatupoteza kabisa.. Afu tunaanza kulaumiana..
Ila kikosi cha safari hii kinaleta matumaini makubwa.. Ile chemistry ya wachezaji kuelewana vizuri ikishatulia tu naamini tutafanya vizuri sanan msimu huu..
 
upload_2016-10-31_13-0-27.png


Theo akiwa mazoezini leo asubuhi ..... .... (Colney)

upload_2016-10-31_13-1-20.png


Rambo na Gibbs ..... ....
upload_2016-10-31_13-2-1.png


OG

upload_2016-10-31_13-2-58.png


upload_2016-10-31_13-3-16.png


Timu inatarajiwa kuondoka kwenda kucheza CL kesho jioni ..... ...

 
Na hiki ndo nnachomaanisha...unajua sawa tunasema mechi zote ni ngumu ila kuna zile mechi ambazo unaingia uwanjani ukitegemeavichapoindi tu sababu timu unayokutana nayo unakuta haipo level yako...timu kama kina middlesbrough, kina Burnley huko na zinginezo...hizi mechi ni za kushinda tu na sio draw wala kupigwa maana siku ukija kukutana na mechi zenye tension kubwa kama kina mancity, liver au kina Tottenham lolote linaweza tokea.. So njia pekee hapa ni kuhakikisha hivi vitimu vidogo hivi hatupotezi point kabisa.. Na hapo ndo Arsenal ugonjwa wetu ulipo.. Tunaweza tukatoka kumpiga mtu goli nyingi na displya ya maana afu tunakuja kutana na vitoto gani sjui huko vinatupoteza kabisa.. Afu tunaanza kulaumiana..
Ila kikosi cha safari hii kinaleta matumaini makubwa.. Ile chemistry ya wachezaji kuelewana vizuri ikishatulia tu naamini tutafanya vizuri sanan msimu huu..
Arsenal ni moja ya top team inayookota points nyingi sana kwa vitimu vidogo. Tatizo huwa linakuja pale anapokutana na the big boys in town..... Hapo mara nyingi huambulia sare na vichapo
 
Back
Top Bottom