Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

50min Gibbs ameumia hapa ... shoulder . .... .... lakini anaonekana yupo ok.
 
69min jamaa wanasubiri goli la kuvizia sasa, mpira umepooza kidogo Granit yellow card, Jenkinson yellow .....
 
Uyu M.El Nenny is kinda slow ila kila anachokifanya ana uhakika nacho na hapotezi mipira.
YaGunnersYa.....
 
Tume qualify kwa knockout stage na we're hopin' tutamaliza kama viongozi wa kundi...thanks lads even tho kipindi cha pili kilikua ovyo ila nini kinazidi utamu wa 3 Pts simply hakuna.
 
Tume qualify kwa knockout stage na we're hopin' tutamaliza kama viongozi wa kundi...thanks lads even tho kipindi cha pili kilikua ovyo ila nini kinazidi utamu wa 3 Pts simply hakuna.
binafsi naamini msimu huu tutamaliza hatua ya makundi tukiwa vinara na kulikwepa lile jinamizi la kupangiwa timu kubwa mtoano.
 
Goli la Özil linaonyesha mpira ni sanaa kama sanaa nyingine ile foot work sio ya kawaida aiseeeee.
 
Back
Top Bottom