Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger inabidi amtoe Arteta.....hayupo form kabisa leo.....amuingize Ramsey kama yuko benchi....hapa tunaomba half time tu
 
duh!inabidi kipindi cha pili 2badilike manake 2navyocheza utafikiri ni ile mechi 2liyofungwa goli 4 na ac milin
 
mhhh ... tubadilike kipindi cha pili gervinho na ox wanahitajika
 
Hawa mabeki wa Arsenal inaonekana wanasupport ubaguzi! Yaani wanamwacha huyu Shuzilaulezi awanyanyase hivi?

Aaaaah hahahahahaha yaani umenifurahisha sana hilo jina...."Shuzilaulezi".......just the right name for him......
 
Hata penati waliyopewa mibaguzi.......kusema ukweli lile LISHUZILAULEZI lili-exaggerate kujiangusha......
Kipindi cha pili Babu Wenger inabidi amtoe Myahudi amuingize Oxlade au Gervinho............
 
Naona replay hapa kwa slow motion inaonesha Suarez hakuguswa hata kidogo na kipa wetu. Jamaa kweli bingwa wa ku-dive.
 
diaby kumbe kapona!arteta kaumia vibaya mpaka anafungiwa machine ya kupumulia uwanjani so,anatoka anaingia diaby
 
watu waki-bet,utabiri wa hali ya hewa yaani forecast wote hao wewe unawaona sheikh yahya?

Ndiyo. Wote ni watabiri kama Sheikh Yahaya. Kwavile Sheikh Yahaya alikua mtabiri maarufu Afrika Mashariki na Kati,yeye namfanya reference. Nikiwataje watabiri wa hali ya hewa kama reference,utawafahamu kweli?
 
tofauti ya Thiery Henry na Robie van Persie ni kwamba Henry alikuwa anafunga wakati arsenal wanachukua makombe na Van Persie anafunga wakati ambao arsenal haiwezi na haichukui makombe!
 
Back
Top Bottom