Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Poleni sana ndugu zangu wa Arsenal. Mwaka huu hata nne bora hakuna. Back to basics and build up the team from scratch. Fukuza kuanzia AW na mabishoo wote akina Walcot.
 
duh!cjui kama 2taweza rudisha magoli hayo mawili manake 2navyocheza ha2na hata dalili ya kurudisha...
 
Aaahhh!! hii timu sasa hivi inahitaji ujasiri wa hali ya juu kuishabikia!!!

Sana mkuuu hii team me simpi mtu ushauri kuishabikia,coz ni mawazo sana tena sana sio kidogo,kwanza hawajui mpira zaidi ya show off....
 
HAHAHAHAHAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.... Ngoja nikalale mie..... Saa tisa usiku nachek mechi ya kichapo again????? This tym siwezi yasubiri..... Usiku mwema wajamani....

thanks na wewe pia ucku mwema ila huo muda wa saa tisa ucsahau kuja humu ndani uangalie matokeo
 
Sana mkuuu hii team me simpi mtu ushauri kuishabikia,coz ni mawazo sana tena sana sio kidogo,kwanza hawajui mpira zaidi ya show off....

Kwa kweli sijui akili ya AW inafikiria nini!! Inashangaza timu inaboronga kila siku lakini kang'ang'ania magarasha tu!!
 
hata kombe la mbuzi mwaka huu hatupati,bila kumfukuza wenger timu inaweza hata kushuka daraja,kwa mwendo huu uzalendo utatushinda.,kila siku aibu tu!!
 
Hapa summer ikija itakuwa ngumu kumshawishi Van Persie kumwaga wino, na pia ngumu kushawaishi wachezaji wakali kuja kwani wanaona hatuko serious.

Na kwenye ligi tuna spurs, liverpool alafu Newcastle. Ya leo tuyasahau tuangalie tunapoelekea.

Nilikua nategemea hiki kikombe naona ndoto yangu imeisha vibaya.
 
Kwa kweli sijui akili ya AW inafikiria nini!! Inashangaza timu inaboronga kila siku lakini kang'ang'ania magarasha tu!!

Haahha hataki kushinda ndio maana mkuu,maana angekuwa na nia na ushindi then asingekuwa anafanya hivyo...anakaa anaweka watu roho juu tu
 
Back
Top Bottom