Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu umeshakutana na kuongea na Wenger personally ukafahamu kwamba ana kiburi? Au ni maneno ya kusikia na kuambiwa? Wekeni ushabiki uchwara mbali na angalieni anachofanya. msione timu zote na media zinamshambulia mkafikiri ni one of the worst.

ndio,wenger ni one of the worst coz yeye ni miongoni mwa bodi ya timu vilevile yeye ni kocha ambaye anajua wachezaji wazuri ambao wanaweza kuisaidia timu kuchukua vikombe...
 
Mkuu umeshakutana na kuongea na Wenger personally ukafahamu kwamba ana kiburi? Au ni maneno ya kusikia na kuambiwa? Wekeni ushabiki uchwara mbali na angalieni anachofanya. msione timu zote na media zinamshambulia mkafikiri ni one of the worst.

je umeshakaa na wenger au hao unaowashambulia kila wiki humu jamvini eh? ikiuma sema, wewekwakwakwakwakwakwaaaaaa, kwakwaaaaaa,
 
Van Persie. Hakuna. Kunyata leo , inabidi tucheze kutokana na speed. Ya mpira.

Vermelen panda mkubwa. Uachie madongo ngoma inaenda. Ukingoni hii.
 
Hata mashabiki waliotoa pesa zao kuiangalia Arsenal nao wamekata Tamaa....
 
Mkitaka kushinda inabidi mtoe mpira haraka hamna haja ya kukaa na mpira hawa wanakaba sana
 
Hata mashabiki waliotoa pesa zao kuiangalia Arsenal nao wamekata Tamaa....

Wale tumeshawazoea , wanasubiri mpaka goli ndio washangilie wakati wachezaji wanatakiwa wapewe nguvu kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Kelele za. Washabiki zinasaidia kumpa nguvu mchezaji.
 
Goli la Djourou hilo .... ...... Sunderland 1 up..... .. kama alivyofanya Italy faulo za kijinga .... ..
uwanja wa rugby nasikia mwachezea....khekheeeeee!
ngoja nikalale mie.....mtanipaga matokeo ya mwisho.
 
HAHAHAHAHAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.... Ngoja nikalale mie..... Saa tisa usiku nachek mechi ya kichapo again????? This tym siwezi yasubiri..... Usiku mwema wajamani....
 
Back
Top Bottom