Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu wa Gunners msiwe na wasiwasi EPL mwaka huu haina mwenyewe, timu ambayo itakuwa consistence kwenye mechi zilizobaki itakuwa bingwa.
 

Let us get used to Transition period guys,....miaka sita sasa tushazoea kumaliza top four,....soon tutazoea kumaliza mid table na kutafuta nafasi ya ushiriki EUROPA LEAGUE, ...(hata Man United na Man City ndio washiriki wetu kule!) ...So long as tupo kwenye EPL, haina tatizo...

.... hata SPURS mashabiki wao walishaizoea hali hii...mateso kwa zamu...
hamuoni hata MESSI kakosa penalty jana, siku za kufa nyani miti huteleza....[Madrid wanaongoza kwa point saba lakini mashabiki hawamtaki Mourinho!] ...soon utasikia na mashabiki wa Barcelona wanataka kichwa cha Pep Guardiola :A S-coffee:

ARSENAL, together we stand...we are the THE GUNNERS!

Mie naona kama tunataka kuona mabadiliko yeyote msimu ujao, ni vizuri tusipomaliza top 4. Labda tunaweza kua serious kwenye usajili na kutumia pesa ambazo zinatangazwa zipo kila siku lakini hazitumiki kwa vile lengo la kumaliza top 4 limetimia. Kama lengo letu lingekua kuchukua ubingwa basi maandalizi yetu pia yangekuwa ya kuchukua ubingwa.

Sasa hivi tuna struggle kutokana na majeruhi(na hii naitumia tu kujipa moyo tu, kwani mchezaji wa maana alieumia Wilshere tu kwa sasa, Gibbs nimeshamzoea, Santos bado speed yake kule kushoto ni ndogo sana sioni kama pengo la Kutupeleka hapa tulipo) lakini pia jeuri yetu ya kutotumia vizuri mda wa usajili ili tu-cost msimu uliopita na sasa hivi itatokea tena. Bench letu bovu sana na ndio kinachofanya wachezaji wetu wengi wa kikosi cha kwanza kuumia kwa vile ndio tunawategemea kwenye mechi zote. Hatuwezi ku-rotate hata kidogo, tukibadilisha kidogo tu mchezaji au mtu akiumie hakuna replacement ya maana kwenye bench.

Mie nataka tukose top 4 hili nione reaction ya viongozi wa timu itakuwaje.

Inauma sana kuona tumerudi nyuma baada maandalizi yote ya miaka 3/4 iliopita.. Huu ndio ulikua mda wa kuvuna lakini tunajikuta kama ndio tunaanza kuandaa shamba upya.

Kwa kipindi hiki tuendeleeni kwenda mechi na mechi, kwa washabiki wenzangu wenye presha sana nawashauri mtafute mentors kutoka timu kama za Wigan hili kumudu wakati mgumu tunaopitia sasa hivi.

Timu sasa hivi hata hazituogopi, home games zimekuwa kama za away.

Kila la kheri wakuu wenzangu, weekend njema, na nategemea ushindi kwenye mechi ya kesho.
 
In the end you could see as well that we had one day less recovery than bolton and that we had given a lot in the second half against aston villa to come back and win the game

Huyu mzee anasahau timu ndogo kama Liverpool wamecheza na Man city j'tano wakafuzu fainali ya Carling,jumapili yake yakacheza na kuwaadhibu Man u,na mechi yao ya juzi against wolves away wakashinda,kwanini sio sisi?
 
Huyu mzee anasahau timu ndogo kama Liverpool wamecheza na Man city j'tano wakafuzu fainali ya Carling,jumapili yake yakacheza na kuwaadhibu Man u,na mechi yao ya juzi against wolves away wakashinda,kwanini sio sisi?


This is the funniest and the weakest analysis or rather understanding of soccer i have ever heard in my life, an arsenal fan look at liverpool as a small club.... inanikumbusha majimaji walidhani wao ni bigger than Simba or Yanga

Ngosha jifunze kusoma soccer, historia yake, maana yake nk.... have you ever wondered pamoja na all the recent dynamics in the world bado liverpool, manchester united, ajax amsterdam, milan, juve, real Madrid, Barcelona, Bayern munich, sio sawa na akina arsenal??

kweli the dog is ok, just beware of the owner
 
Salam wakuu wote. Kikosi. Cha leo kimetoka tayari.


Scheczyn,Coquelin, Sagna, Varmelen, Koscienly, Song, Arteta, Rosicky, Chamberlain, Walcott na. Va Persie.

Naomba twende half time tukiwa. Tunaongoza 3 hili. Van Persie akapumzike mapema.

KILA LA KHERI GOONERS WOTE.
 
Kitendo cha ramsey kuwa benchi ni cha busara na ikiwezekana atolewe kabisa kwenye kikosi cha kwanza..
 
Niseme tu jamani, mechi ya leo sitaiangalia nimechoka kusumbuliwa na matatizo yanayosababishwa na Wenger hadi hapo tutakapopata point sita mfurulizo. Sisi tumekuwa watu wa Next season we shall do better. Nasubiri matokeo wakuu!!!!!!
 
Ndo nimeingia home na bado namuona Walcott....... Huyu AW hayupo Serious kabisa.... This guy was crap on Bolton game..... Good zaidi ni 1 - 0 so far.... Go Goonaz
 
Back
Top Bottom