Vermaelen naye bado kabisa! Alikuwa na uwezo wa kucheza kross iliyosababisha goli! He is out of position!
Wenger now needs to asses both left na right back positions!
Bado lazima tuwachape leo mnaongea sana,alafu kiwango chenu na mpira hakifanani na United hata nusu,mmeona mpira uliochezwa first half....sasa mnawaza sub
Vermaelen naye bado kabisa! Alikuwa na uwezo wa kucheza kross iliyosababisha goli! He is out of position!
Wenger now needs to asses both left na right back positions!