Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dogo Miquel yupo, labda aende kati Miquel alafu Koscienly aende kulia, na hapo bado utakuwa umechanganya habari kinoma.

NANI anatusumbua sana, Varmelen amewaza kumzima Valencia vya kutosha
Wenger bana kwa nini asimrudishe Djorou kati huyo Koscienly aende kulia maana ManU magoli yao yanatokea pembeni
 
Dogo Miquel yupo, labda aende kati Miquel alafu Koscienly aende kulia, na hapo bado utakuwa umechanganya habari kinoma.

NANI anatusumbua sana, Varmelen amewaza kumzima Valencia vya kutosha
Vermaelen naye bado kabisa! Alikuwa na uwezo wa kucheza kross iliyosababisha goli! He is out of position!
Wenger now needs to asses both left na right back positions!
 
Wenger bana kwa nini asimrudishe Djorou kati huyo Koscienly aende kulia maana ManU magoli yao yanatokea pembeni

Ni akili nzuri lakini ukimueka Djouro kati na Martesecker unataka Rooney apate hat-trick?

Djouro mzito sana na anawapa nafasi nyingi sana.
 
Bado lazima tuwachape leo mnaongea sana,alafu kiwango chenu na mpira hakifanani na United hata nusu,mmeona mpira uliochezwa first half....sasa mnawaza sub
 
Vermaelen naye bado kabisa! Alikuwa na uwezo wa kucheza kross iliyosababisha goli! He is out of position!
Wenger now needs to asses both left na right back positions!

Vermelen so far kacheza poa sana ukitoa kosa lake liloleta goli.
 
Wenger bana kwa nini asimrudishe Djorou kati huyo Koscienly aende kulia maana ManU magoli yao yanatokea pembeni

Hii idea inaweza ikawa nzuri kidogo manake huku alipo djorou hapawezi kabisa
 
haya Wenger kasikia kilio chenu, man of the match ametoka.
 
Eboue alikuwa hana tatizo la kupigwa bench lakini Wenger kaenda kumuachia sasa hivi anaangaika Sagna akiumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…