Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Kilicho punguza furaha ya leo ni kuumia kwa Vermelen, na wamesema atachukua wiki tatu kurudi.
Happy New Year to all Arsenal Fans....Nashukuru kwa kuwa pamoja mwaka 2011,natumai tutazidi kuwa pamoja mwaka ujao. Kwenye kushindwa na kushinda, tuendelee kujulikana kuwa imara na wenye mapenzi kwa timu yetu. VIVA ARSENAL,VIVA ARSENAL FANS!!
Happy New Year to all Arsenal Fans....Nashukuru kwa kuwa pamoja mwaka 2011,natumai tutazidi kuwa pamoja mwaka ujao. Kwenye kushindwa na kushinda, tuendelee kujulikana kuwa imara na wenye mapenzi kwa timu yetu. VIVA ARSENAL,VIVA ARSENAL FANS!!
Happy New Year to all Arsenal Fans....Nashukuru kwa kuwa pamoja mwaka 2011,natumai tutazidi kuwa pamoja mwaka ujao. Kwenye kushindwa na kushinda, tuendelee kujulikana kuwa imara na wenye mapenzi kwa timu yetu. VIVA ARSENAL,VIVA ARSENAL FANS!!
hongera Arsenal kuongeza ladha ya sherehe za mwaka mpya...... mwaka mpya ooooyyeeeee
hongera Arsenal kuongeza ladha ya sherehe za mwaka mpya...... mwaka mpya ooooyyeeeee
Happy New Year to all Arsenal Fans....Nashukuru kwa kuwa pamoja mwaka 2011,natumai tutazidi kuwa pamoja mwaka ujao. Kwenye kushindwa na kushinda, tuendelee kujulikana kuwa imara na wenye mapenzi kwa timu yetu. VIVA ARSENAL,VIVA ARSENAL FANS!!
B karibu sana kwenye chama letu. Kadi yako ikishashainiwa na wanachama wote wa jukwaa hili itatumwa kwako haraka sana.
1st lady wetu umepotea sana....
Sent from my HTC Incredible S using Tapatalk
Duuh Mama Obama umetokea siku muafaka sana. Asante sana na Kheri ya mwaka mpya kwako pia na Mungu akutimizie malengo yako yote ya mwaka 2012.
Viva Arsenal.
.....Nimefurahi kukuona kipande hii, sasa naamini kweli umerudi rasmi 🙂🙂 HAPPY NEW YEAR!!!
Da michelle na Blaki woman tafadhali tunaomba uwepo mara zote,msipotee kiasi hicho,welcome back home!Happy New Year BAK...feels good to be back here 🙂🙂
Da michelle na Blaki woman tafadhali tunaomba uwepo mara zote,msipotee kiasi hicho,welcome back home!
Tukitoboa tu, tuko mbali balaa!Just to confirm this is my official twitter account Don't mind that hanger above my head lol http://pic.twitter.com/nPyifSa4
![]()
Duh leo kwa Fulham tutaoka kweli