Hatutaki visingizio tunataka muwe full🚨Cristhian Mosquera & Bruno Guimarares were NOT seen in training this morning ❌
🗞️ Sky Sports
Nyie ndio mna akili za kuvukia barabaraKenge na Akili ni vitu ambavyo huwezi kuviweka pamoja
Nawashangaa sanaNyie jiongelesheni tu na kujijibu wenyewe, badala ya kutafuta namna ya kuizuia ile Front three ya chelsea msije mkadhalilika.
Kwa hiyo akili zako ndio zimekutuma Caseido anachezaga peke yake.
Caicedo ni kiungo mkabaji Bora duniani acha kumvunjia heshimaHua nasema mashabiki wa chelsea machizi.
Sasa nenda X halafu search #enzofiles
Mashabiki wa chelsea wanatuma videos zikionyesha jinsi Enzo Fernandez alivyo mbovu uwanjani. Wengine wameenda mbali na kuonyesha juu ya ubaguzi wa rangi.
Hawa ni wapuuzi waliokesha kudai hakuna kiungo kama Enzo, alivyoflop wakamleta Caicedo. Alivyoflop na huyu wanaongea juu ya interceptions.
Siku hizi siwajibu hawa kenge.
Unaambiwa huko ukengeni matumbo joto leo mmefanya mazoezi ya Rugby kisa gemu ya jumapiliNyie ndio mna akili za kuvukia barabara
Front three yetu inawasubiri sijui mtakuja na kisingizio ganiUnaambiwa huko ukengeni matumbo joto leo mmefanya mazoezi ya Rugby kisa gemu ya jumapili
Tushacheza na front three yenyeFront three yetu inawasubiri sijui mtakuja na kisingizio gani
Nilicheka sana nilivyoona hii.Unaambiwa huko ukengeni matumbo joto leo mmefanya mazoezi ya Rugby kisa gemu ya jumapili
Fanyeni hata mazoezi ya Kungfu ila kipigo hakikwepeki
Hilo zoezi la kawaida kulingana na mpira wa EPL unahitaji iwe fit physicallyNilicheka sana nilivyoona hii.
Eti wanajiandaa na physical battle
Hii inaitwa JP Morgan ( Joao Pedro, Palmer na Morgan Rogers) tutawapima mabeki wenu Wana uwezo wa kukimbia kiasi ganiTushacheza na front three yenye
Mbappe, Vini, Rodrygo
Diaz, Kane, Olise
Hao wote hawakuweza kuscore 1+
Nyie kenge wenye Kopama, Estevao na Welbeck mkipata goli zaidi ya moja iyo mechi mmeshinda nawapa alama tatu
Mmeshatafuta kichaka cha kujificha. Caicedo hachez peke yake😀Nyie jiongelesheni tu na kujijibu wenyewe, badala ya kutafuta namna ya kuizuia ile Front three ya chelsea msije mkadhalilika.
Kwa hiyo akili zako ndio zimekutuma Caseido anachezaga peke yake.
Waonee huruma, wanaweza wasilete timu uwanjani.Hii inaitwa JP Morgan ( Joao Pedro, Palmer na Morgan Rogers) tutawapima mabeki wenu Wana uwezo wa kukimbia kiasi gani
Ipswich ni team ambayo ipo open sana halafu haina quality pale mbele wamekutana na team rafiki kwa uchezaji waoLiver leo anapata ushindi wake wa kwanza
Na yatima wa wenger wanapata defeat yao ya kwanza kesho.Liver leo anapata ushindi wake wa kwanza
Mwenge hautaruka kijiji safari hiiNilicheka sana nilivyoona hii.
Eti wanajiandaa na physical battle
Kwasababu wanawachezaji wengi ambao hawakabiNawaangalia hapa man city, jinsi wanavyocheza, wanavyoacha space, hawafanyi running l, sizion penetration pass,timu haina viungo wa kutuliza timu kama rodri
Natamani baada ya kumkanda kenge kesho, j3 watupe huyu city ili tuokoe muda