Nakuunga mkona hasa case ya Zubimendi.Kuna watu humu mulikuwa mnataka Odegard aondoke. Me nasemaga wachezaji siyo maroboti, wanapataga fatigue sometime.
Mfano mwengine Saka, kacheza mechi nyingi. hayuko fit.lakini watu hawaelewi. Hata Zubimendi inatakiwa awe fully fit ndiyo tumjudge
Pamoja na expectations nilizonazo kama hivyo wewe, sitegemei kuona tukishinda kwa goli zote hizo. Sitaki kujipa matarajio makubwa. Na hatujui Coventry watakuja vipi. Wanaweza wakakaa nyuma vile vile sherehe ikawa ngumu.Arsenal 4 vs Coventry 0
#coyg
Zubimendi alicheza kila mechi msimu Jana.Nakuunga mkona hasa case ya Zubimendi.
Dogo alicheza gemu nyingi zaidi ya misimu iliyopita. Alizoea kuishia 40 na kitu ila alifikisha 57 na bado msimu ulikuwa haujaisha. Kibaya zaidi system yetu inahitaji upambanaji lasivyo namba sahau.
Acha kuleta ujuaji wa kijinga kwa timu yetu.Coventry...mabingwa wa championship wakiwa na Super Frankie..... Wamesajili vizuri, watatoa ushindani ! Sioni mkishinda, mkijitahidi draw !!
Bruno G kaumia ? Tuliwaambia mapema huyu ni injury prone.... hawezi kukupa 10+games consecutively.....
Uwezo wake hauna shaka, ni mtu haswa ! Tatizo fitness!!!!!
Kwa hio tumekubaliana tuanze msimu na striker wetu Victor Goyk na Jesus ? Basi sawa
Hawa tuwashushie kipigo kitakatifu iwe kama statement kwa timu pinzani zilizobakia.Hawa madogo leo wale kono la Nyani
Tunakaa kileleni mwanzo mwisho msimu
#FreeAlvalezKitakwimu Konsa siyo usajili bora badala yake yeye kama senior analetwa kama kiongozi.
Enzi za Wenger baada ya Saliba kuumia kwakua ana Mosquera na Salmon basi hao ndiyo wangeachiwa dimba mpaka Saliba ataporudi.
Sasa hivi silalamiki tena juu ya usajili wa mabeki, msimu uliopita tulioba waliokuja kutushikilia ni ambao tulijiuliza mbona wengi.
Leo naona imeripotiwa Arsenal wameanza kumfuatilia Alvarez, ila Alvarez hana mpango na EPL yeye mawazo yake yapo Barca
Huyu Alvarez lazima atatua Emirates.Kitakwimu Konsa siyo usajili bora badala yake yeye kama senior analetwa kama kiongozi.
Enzi za Wenger baada ya Saliba kuumia kwakua ana Mosquera na Salmon basi hao ndiyo wangeachiwa dimba mpaka Saliba ataporudi.
Sasa hivi silalamiki tena juu ya usajili wa mabeki, msimu uliopita tulioba waliokuja kutushikilia ni ambao tulijiuliza mbona wengi.
Leo naona imeripotiwa Arsenal wameanza kumfuatilia Alvarez, ila Alvarez hana mpango na EPL yeye mawazo yake yapo Barca
Mashabiki wa Arsenal tulidanganywa Pepe usajili mbaya wachache wakaamini, wakamtukana akaondokaHuyu Alvarez lazima atatua Emirates.
Tutaswap na Gyokeres
Acha kuleta ujuaji wa kijinga kwa timu yetu.
Coventry Leo apende asipende lazima age chuma 3+
Nimekaa pale👉