Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Marekebisho bruno G ana 28 anaelekea 29
 
Arsenal wanajua biashara bana ingekuwa cheltako wangeuziwa 120m
Chelsea inajua biashara zaidi ya Arsenal yaani mmetoa pound 75 kwa mchezaji ambaye ni aged alafu mnaona ni wajanja, Chelsea imekubali kutoa 117 kwa Rogers ni kwasababu walikuwa wanamuhitaji misimu miwili iliopita kutokana na uwezo na mahitaji ya team, Pili ni muingereza huwa wachezaji wao wanauzwa Bei za juu,Tatu Astoni Villa sio warahisi linapokuja suala la biashara na wanamsimamo pia kumbuka ndio mchezaji wao bora
 
Hela iliyolipwa could be recouped in his first season at the club, through sales of his shirt, rewards from winning titles
 
Hela iliyolipwa could be recouped in his first season at the club, through sales of his shirt, rewards from winning titles
Pia kumbukeni hamuwezi kufanya resale value kwa Bruno alafu pia Bruno sio brand player useme utarudisha kupitia uuzwaje wa jezi ungeniambia Vini sawa ila sio hiyo ingawa ni mchezaji mzuri
 
Team yenu sio ya kuchukua ubingwa but itategemea na team zingine zimejipangaje bado kwenye eneo la mbele mna shida. Arteta na management nzima ilifanya kosa kubwa kununua mshambuliaji tena kwa pesa nyingi ambaye hafit mfumo wake Victor Gyokerez atazidi kuendelea kuwa mchezaji wa kawaida akiwa hapo. Mfumo wa Arteta unahitaji kuwa na mshambuliaji mnyumbulifu mwenye uwezo wa kucheza false no 9 aina ya Lautaro Martinez au Alvarez, Gyokerez sio aina hii ya mshambuliaji na ndio maana anapata wakati mgumu kwasababu team haichezi kumzunguka yeye kwahiyo ataendelea kupata shida kuscore badala yake ataendelea kutegemea Zaidi kufunga magoal ya penalty.Nafasi nyingine ni upande wa beki hamna mbadala mzuri wa Saliba
 
Kenge nani kakupa ruhusa ya kutoa ushauri humu?

Wewe kashauriane na kina Bournemouth na Palace
 
Hii ilionekana mwanzo kabisa
 
Guimaraes anachukua nafasi ya Noorgard ambaye amejiunga na Everton, Uwanjani Guimaraes anaweza kutumika km box to box that's means he is rotating with Declan rice lakini pia anaingia direct kwenye nafasi ya Defensive midfielder kwa lengo la Ku improve required standard, Zubimendi hapa kazi anayo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…