Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Castr kama Castr. Kwamba wapenda soka wengi wako against arsenal ama?
 
Luis Enrique ili kufika fainali ya CL alikua akiomba mechi zake za ligi kuahirishwa ili wachezaje wake wasichoke akija CL.

Pep aliomba mechi ziahirishwe kwaajili ya FA. Akaomba wachezaji aliosajili January wacheze fainali ya Carabao.

Arteta went through hell bila kuomba mechi kUahirishwa.

Kisha kocha mmoja anakuambia "We are the best" kenge kabisa
 
Kabla ya mechi za pili za UCL, Kuna stats zilikuwa zinaonyesha kwa msimu huu Calafiori played more minutes kuliko Dembele na ndugu zake.

Pamoja na tripu shamba tripu gereji zote za msimu huuu.
 
Kabla ya mechi za pili za UCL, Kuna stats zilikuwa zinaonyesha kwa msimu huu Calafiori played more minutes kuliko Dembele na ndugu zake.

Pamoja na tripu shamba tripu gereji zote za msimu huuu.
Dembele kaanza games hazizidi kumi msimu huu.

Ballon d'or winner
 
Siongei kishabiki, ukitizama vizuri utagundua tu sisi hatuko bora, huyu man city anaetufukuza angekuwa bora kidogo tu angetukamata, imefika hatua tunaombea apoteze ili tuwe na uhakika..
unaposema hatupo bora unatufananisha na nani au na kitu ghani ?
 
Kwa hali wanayoipitia man city kwa sasa .. inawezekana kesho pia wakadroo au ku lose point 3 kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…