Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bukayo Saka atakosa mechi zifuatazo kutokana na jeraha

Chelsea
Sunderland
Brentford
Wigan
 
Chelsea walicheza na sisi wakawa wanacheza mpira direct ambao hautaki stori ni kuflick mpira aupate mwenzake na kupambana waendw mbele.

Nikanotice pia wakawa hawataki kushindana possession, wanakuachia mpira kisha wanasubiri uteleze.

Formation ya leo ni baba la wapenda huo mchezo. Mid imekaliwa na watu 5 forward ina watu 2 rely on long balls, counter na transition.

Na kwakua ni fair kucheza na Arsenal kwa kupaki basi naona hii ni set up fair kwao.

Let's see jinsi gani Arsenal itajaribu kudismantle beliefs
 
Kila mtu atambe pande zake, arsenal tambeni kumfunga Chelsea, Na Chelsea tunatamba mafanikio baada ya kufungwa na Arsenal 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…