Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,186
- 18,904
Baada ya kushiba ugali umeona uje humu kuandika hizi pumba zakoNasema hivii mkichukua EPL, niitwe Jibwa koko. kimahesabu mna asilimia nyingi sana za kutoka patupu.
Wewe endelea kubwabwaja wakati Saka anaelekea kubeba tajiTuliambiwa Saka ni WC
Ana G/A ngapi mpaka sasa tumeshavuka nusu msimu? Huyu mmakonde ni hype tu.... hawezi kukupa 20G/A per season......
Yeye na captain wake ode ni matapeli hapo Arse8.. . Mpaka mje mgundue too late ...
Word cup inakuja, atakuwa bench warmer...tuchel hana masikhara
David Ornstein, saa 20:00: Sandro Tonali offered to Arsenal by agent so #AFC explored but no contact with Newcastle United; nothing will happen this window. 25yo’s camp put idea to Andrea Berta so looked into as per any player of interest. #NUFC exit now impossibleMuda huuu (13:00), Fabby na Ornstein, wametulia tuuu wakicheki adrenaline rush kwa mashabiki wa Arsenal
Dua za kuku hiziNasema hivii mkichukua EPL, niitwe Jibwa koko. kimahesabu mna asilimia nyingi sana za kutoka patupu.
Tushabadilika wale Leeds tuliowapiga sio wabovuNaiangalia Sunderland hapa itoshe kusema tusipobadilika hawa watatusumbua
Kabla ya goli nne za juzi first leg tulimpiga tanoTushabadilika wale Leeds tuliowapiga sio wabovu
Alibadilika haukufuatila form yake kwa sasa?Kabla ya goli nne za juzi first leg tulimpiga tano
Labda hilo taji la maua.Wewe endelea kubwabwaja wakati Saka anaelekea kubeba taji
Arsenal final tunacheza na Newcastle! Subiri na uoneView attachment 3538245
Leo ni leo
Sawa sheh yahaya, ila mwambieni Timberland asijaribu tena michezo ya hatari👆 atachanika.Arsenal final tunacheza na Newcastle! Subiri na uone
Hiki ndo kitu pekee Chelsea wanaweza kujivunia wakicheza na Arsenal 😂View attachment 3538245
Leo ni leo
Hii mechi Chelsea anakufa 3-1Chelsea wananikumbusha ukiwa unacheza drafti halafu mtu anakufunga moja bila kwenye michezo 3 au 2 kwa 1 unakua unahisi kwamba ni ulikosea padogo tu ndiyo sababu unafungwa.
So unajipa moyo kwamba safari hii nafia arena.
Tatizo ni kwamba haufungwi kwa bahati mbaya unafungwa kwakua watu wana patterns, plan na executions. Kwakua unakua umezibwa na ego unakua hauoni gaps zako, unakua unaona potential ya gaps za mpinzani.
Hilo kosa walifanya Madrid, wakalifanya Bayern na sisi tumelifanya kwa second leg ya Manchester United.
Shabiki mmoja wa Arsenal anasema kama tungeshinda 3 - 1 Chelsea wasingekua na hii imani. Shabiki mwingine akamuambia tatizo la mashabiki wachache wa Arsenal ni kutokua na imani. Chelsea anahitaji ashinde, Arsenal anahitaji kushinda?
Na hata kama ni kweli unaamini Arsenal ataenda kutafuta suluhu?
Nafikiri namna tumefika pale ndiyo changamoto, late goal dhidi ya Palace kisha late equalizer na Kepa akatubeba kwenye matuta. So mashabiki na wapinzani wote hawaamini.
Observe
Chelsea ni wanyonge Sana ukiwalinganisha na UnitedGarnacho anasema ni kweli Emirates pagumu ila kama Man United kaenda kachukua points zake kwanini wao washindwe?